Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10591 articles
Browse latest View live

DR MPANJU-SHUMBUSHO APPOINTED AS ASSISTANT DIRECTOR GENERAL OF THE WORLD...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAITAKA SERIKALI KUSHAURIANA NA TUME YA UCHAGUZI JUU YA KURA YA MAONI...

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti leo kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma, tarehe 23 Mei 2015....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU AKAGUA MADHARA YA MAMBA MLA WATU MASASI

 Diwani wa Nhavila, wilayani Masasi Meja Ramadhan Chilumba akimsaidia Waziri wa maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kupanda kingo za mto, alipotembelea mto Ruvuma mpakani na Msumbiji kutoa kifutajasho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MCHAKATO WA KUMPATA RAIS CCM

 Makao Makuu ya CCM mkoani Dodoma yanavyoonekana kwenye picha wakati wa vikao vikubwa vya Chama.Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Familia ya mtoto aliyegongwa na fuso na kukatwa miguu anaomba msaada wa kisheria

Naibu Kamanda wa UVCCM ,Innocent Melleck akiwa na mama mzazi wa mtoto Felista ,Beatrice Shirima mara baada ya kukabidhi kiti cha walemavu cha magurudumu kwa ajili ya kusaidia kutoka eneo moja hadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA...

Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania ulioanza Mei 25-27, 2015 katika hoteli ya Ramada, Dar es Salaam. Lengo kuu la mkutano huo ni kujadili utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje na mchango wa Wizara kufikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACACIA HONOURS IT'S DAR OFFICE EMPLOYEES FOR LONG SERVICE

 Acacia’s top leadership,DeoMwanyika, (First-L), Peter Gelete, (2rd-L), Andrey Wrey, (3rd-R), Asa Mwaipopo, (2nd-R), and Janet Reuben Lekashingo, (First-R),  pose for a group photo with two awards’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNFPA WAKABIDHI MSAADA WA GARI LA WAGONJWA, JENGO NA VIFAA VYA UPASUAJI GEITA

Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mh. Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua gari la wagonjwa (Ambulance) lenye thamani ya Tsh. Milioni 80 kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AZUNGUMZA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI DODOMA LEO

  Waziri Mkuu mstaafu, Edward lowassa akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dodoma kuhusu mambo mbalimbali pamoja na safari ya matumaini. Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MABENKI YA AKIBA DUNIANI (WSBI) KANDA YA AFRIKA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu mkutano wa mabenki ya Akiba Duniani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAMU WAMETAKIWA KUJIANDAA VYEMA NA MWEZI MTUKUFU

Balozi wa Falme za Kiarabu nchini Tanzania, Mbarouk Nassor Mbarouk(kushoto) akiwa katika swala iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika msikiti wa msikiti wa Alsahaba  ulioko eneo la Morombo jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATMA YA CCM IPO MIKONONI MWA VIJANA

 Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye. Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA...

Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Samunge Social Research Centre, George Nyaronga (katikati), akisisitiza jambo wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AKI NA UKWA WA BONGO WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWENYE TASNIA YA FILAMU

Kushoto ni Meya Shabani a.k.a Aki akiwa na Mwenzake Nicholaus Ngoda a.k.a Ukwa nje ya ofisi yao Aki na Ukwa wa Bongo wakipiga kazi ... Hapa wakionesha upande mwengine wa ofisi yao ya International Film...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI

Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana. Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.Katika Nyumba (Msikiti)  huu ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA NNE WA MABALOZI JIJINI DAR ES...

Mhe. Rais Kikwete akizungumza huku Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati) pamoja na Katibu Mkuu wa Mambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

  Meya wa Manispaaya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei muda mufupi kabla hajakabidhi hundi ya sh. milioni 20 baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA ,MH;GAUDENSIA KABAKA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA...

 Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka akizungumza wakati akizindua Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya(NHIF) jijini Arusha leo,kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa NHIF,Michael Mhando na kulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI JUMAMOSI HII ARUSHA WAKATI LOWASSA AKITANGAZA NIA

View Article
Browsing all 10591 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>