Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayport Financial Services yamfuta machozi Latifa Said

Mratibu wa Bima ya Elimu kwa Uwapendao kutoka Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, kushoto akimkabidhi hundi Latifa Juma yenye thamani ya Tsh 3,000,000, baada ya mzazi wake Juma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SACCOS YA WALIMU MOSHI VIJIJINI WAPATA VIONGOZI WAPYA WA BODI

Baadhi ya wanachama  waliojitokeza kuomba nafasi ya kuwania kuwa wajumbe wa Bodi ya Saccos hiyo wakiwa wameshika karatasi zeneye majina yao.Secretariety ya mkutano huo wakihesabu kura kwa ajili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAMADHANI MASANJA 'BANZA STONE' YUPO HAI

Taarifa zinazoenea katika mitandao ya kijamii ya facebook, Twitter na WhatsApp juu ya kifo cha Mwanamuziki mnguli wa Mziki wa dansi hapa nchini Ramadhani Ramadhani Masanja 'Banza Stone' sio za kweli....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI...

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro (kushoto), akizungumza na viongozi wa Halmshauri ya Wilaya ya Kisarawe,  Wabia wa eneo la mradi wa Kampuni ya World...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA GEITA DONALD KEVIN MAX AFARIKI

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Geita (CCM) Mheshimiwa Donald Kevin Max (58)(picha) amefariki dunia. Kufuatia taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda...

View Article


KUTOKA MAGAZETINI LEO CHANNEL 10 NA AZAM TV

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YATOA 20M/- KUFUTURISHA VITUO VYA WATOTO YATIMA NCHINI

Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi akikabidhi hundi yenye dhamani ya sh.milioni 20  kwa Naibu katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Mohamed Khamis Said kwa lengo la  kusaidia futari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MISS KILIMANJARO KUTAFUTWA MWEZI UJAO KATIKA UKUMBI WA KILI HOME RESORT

 Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika picha ya pamoja leo katika hoteli ya Colosseum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA AITA 26 KUUNDA STAR, BENCHI LA UFUNDI YUPO KIBADENI

KOCHA wa Mpito wa Timu ya taifa Taifa Star, Mzawa kutoka Uluguruni, Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ (pichani kulia na msaidizi wake)  ametangaza kikosi cha wachezaji 26 wanaoingia kambini jijini Dar...

View Article


VICKY KAMATA AUKUBALI MZIKI WA KINANA GEITA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO JIJINI ARUSHA LEO, WANACCM 120,335 WAMDHAMINI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Jiji la Arusha waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa ulipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPB YAZINDUZ HUDUMA LAAMU YA AKAUNTI KWA VIKUNDI VISIVYO RASMI

Katika jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi. Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji  wa Shirika la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA MSIBA TANZANIA NA MAREKANI (MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE)

DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

$120bn TRADE FINANCE GAP IS HOLDING BACK AFRICAN GROWTH OPPORTUNITIES,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AKABIDHI MSAADA NA KUTOA ELIMU YA AFYA KWA WATOTO...

 Miss Universe Tanzania 2014 Caroline Bernard akiwa katika moja ya madarasa ya shule hiyo leo.Miss Universe Tanzania 2014 Caroline Bernard leo amekabidhi msaada pamoja na kutoa elimu ya afya ya uzazi...

View Article


BEI MPYA ZA USAJILI MAKAMPUNI NA MAJINA YA BIASHARA BRELA KUANZIA TAREHE 1 JULAI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJENGWA KUUNGANISHA WATANZANIA WAISHIO NJE NA NDANI YA NCHI

Mratibu wa Kipindi cha Diaspora,Maggid Mjengwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya kipindi cha Diaspora kitachoanza kuruka katika kituo cha TBC hivi karibuni katika ukumbi wa idara ya Habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMBA AZOA WADHAMINI WILAYANI MISENYI MKOANI KAGERA

Mbunge wa Bumbuli na naibu waziri wa mawasilano, sayansi na teknolojia, January Makamba na mkewe, Ramona Makamba wakisalimiana na wanchama wa CCM wilayani Misenyi moani Kagera mara baada ya kuwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI EDSON KAMUKARA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA MOTO

 Mwandishi wa habari Edson Kamukara (pichani) amefariki dunia leo.Taarifa zilizotufikia zinaarifu kuwa Mwandishi huyo aliyepata kuandikia gazeti la Tanzania Daima na baadae kuhamia Mwanahalisi amefikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS BURUNDI ADAIWA KUKIMBIA

Makamu wa Rais wa Burundi, Gervais Rufyikiri ameondoka nchini humo kwa kile alichodai kukimbia kusumbuliwa baada ya kupingana na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi kutaka kuongeza kipindi cha tatu cha...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>