Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10606 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS WA CCM

   

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOSHI MWEUSI BADO WATANDA CCM DODOMA WAGOMBEA 5 GUMZO

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya  Kikwete akiongoza kikao maalum cha kamati kuu ya CCM katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar ambaye pia ni Rais wa SMZ...

View Article


TAZAMA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILIVYOANZA HII LEO MJINI DODOMA

View Article

HAPA NDIPO MOSHI MWEUPE UTAKAPOFUKA NA KUMPATA MGOMBEA URAIS WA CCM JULAI 11...

View Article

WANANCHI WA BUNJI DAR ES SALAAM WALIVYOCHOMA KITUO BAADA YA MTOTO KUGONGWA NA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA DODOMA NAPE ATHIBITISHA 5 BORA YA CCM, KUWA NI AMINA, MEMBE, MAGUFULI,...

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari asubuhi hii nje ya Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma, akithibitisha taarifa iliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABADILIKO YA UANDIKISHAJI MKOA WA DAR ES SALAAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC MJINI DODOMA LEO

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YA CCM INAPIGA KURA SASA KUPATA TATU BORA. SAA TATU USIKU MKUTANO UNAKAA...

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii juu ya kilichofanyika kwenye Mkutano wa Hamlashauri Kuu ya CCM (NEC), ambapo amesema kuwa sasa NEC...

View Article


MAGUFULI, MIGIRO NA BALOZI AMINA WAPETA TATU BORA YA CCM

WATANGAZA nia Dk John Pombe Magufuli,Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina Salum Ali wa Chama cha Mapinduzi CCM wamepeta kuingia hatua ya tatu bora na kuwatupa nje Bernard Membe na Januari Makamba....

View Article

TAZAMA HAPA LIVE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA KUPITIA VIDEO STREAM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOGOO LIMEWIKA DODOMA, DK JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NDIO MGOMBEA URAIS CCM 2015

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, baada ya kutangazwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMIA SULUHU HASSAN NDIYE MGOMBEA MWENZA CCM

MWANAMAMA aliyepata kuwa Mwenyekiti mwenza wa Bunge maalum la Katiba na Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rasi Muungano, Samia Hassan Suluhu  ndie mgombea mwenza wa Dk John Pombe Magufuli katika mbio za...

View Article


MAJAMBAZI WAVAMIA KITUO CHA POLISI STAKISHARI UKONGA NA KUUA ASKARI 6

HABARI zilizotufikia hivi punde zinaarifu kua watu wanaodhaniwa kua ni majambazi yakiwa na silaha za moto yamevamia Kituo Kikuu cha Polisi Wilaya Stakishari Ukonga na kufanya shambulio na kuua askari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA

 Meneja wa Mradi, Mhandisi. Pascal Malesa akiwaonesha timu ya ukaguzi eneo linalokusudiwa kwa ajili ya mradi wa umeme wa upepo nje kidogo ya mji wa Singida, mbele yake ni kiongozi wa timu hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA 4 WATIWA MBARONI

Mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA NCHI ZA JAHAZI 2015 KUFANYIKA KOME KONGWE ZANZIBAR KUANZIA JULAI...

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Tamasha la Jahazi, Martin Mhando (kushoto), akizungumza leo jijini Dar es Salaam kuhusu tamasha hilo kubwa la jahazi kuhusu tamasha la nchi za jahazi litakalofanyika kuanzia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YATANGAZA MAJIMBO 26 MAPYA YA UCHAGUZI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMEKUCHA MISS KILIMANJARO AMBASSADOR 2015

  Shindano la Miss Kilimanjoro Ambassador 2015 limepamba moto kwa kuchukua sura mpya kwenye vyombo vya habari likiwa na mvuto wa aina yake.Warembo wanaowania taji hilo wako kambini kwa sasa wakinolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kipindi cha JUKWAA LANGU, Julai 13, 2015

Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali akiwemo Katibu...

View Article
Browsing all 10606 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>