Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10759 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IN LOVING MEMORY OF THE LATE DR KATALYEBA

The Late, Dr.Philbert O.Katalyeba Time speeds on, 5 years (9th July 2010-9th July 2015) have passed since death its gloom and shadow cast our home where all seemed bright, and took from us a shining...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBUuw MKUU TAMISEMI ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO NHC

Naibu Katibu mkuu Tamisemi ,Kagyabukama E.Kiliba akipata maelezo ya namna kituo cha huduma kwa wateja kinavyofanya kazi kutoka kwa Afisa wa kitengo cha Huduma kwa Wateja, Theresia Muhondo katika banda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DCB ILIVYOSHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA

Mhazini wa DCB Commercial, Samwel Dyamo (kulia) akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji,kuhusu mambo mbalimbali ya huduma wanazotoa katika Viwanja vya maonesho.mwengine ni  Meneja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVUNDE AVUNJA BARAZA LA MADIWANI MPWAPWA

 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma, Adv. Anthony Mavunde akiongea wakati wa kuvunjua baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma  juzi. Pamoja nae ni Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVID ELISA MOSHA AJITOSA KUWANIA UBUNGE MOSHI MJINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WACHANGISHA MILIONI 31 KUSAIDIA WENZAO

Mwenyekiti wa Kampeni iliyolenga kupata fedha kwa ajili ya kuwasaidia wanahabari wanaougua magonjwa sugu yakiwepo ya saratani, (MEDIA CAR WASH FOR CANCER) , Benjamin Thompson akizungumza na waandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL FURSA YATUA MWANZA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea na vijana wa Mwanza wakati wa uzinduzi  wa warsha maalum kwa vijana  ya'AirtelFursa'  kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA UKUMBI MPYA WAMIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA LEO.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, leo Julai 9, 2015 Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA WAFUTURI BAADA YA KIKAO CHA MKAKATI DAR ES SALAAM

Baadhi ya Wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutoka kushoto, Naomi Kaihula (Viti Maalum CHADEMA), Salum Baruan (CUF- Lindi Mjini) na Mohamed Habib Mnyaa wakishiriki futari iliyoandaliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIOMOND ALIPOMSINDIKIZA MO DEWJI KUWAAGA WAPIGA KURA WAKE WA SINGIDA

   Mbunge wa Singida mjini, Mohamed Dewj 'MO' akihutubia mkutano wake wa hadhara mjini Singida wakati wa kuwaaga wapiga kura wake hao. Mkazi wa Singida mjini akimwomba Mbunge wake asiache ngazi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LULU KUPAKUA VIDEO YAKE MPYA YA 'NINOMA -HUYU DEMU FEKI'

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAU ATOKA NA KIDEGE

View Article

SOMA JARIDA WIKI TOLEO LA 75 LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KAZI ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume, akitoa maelezo kwa Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka, alipotembelea banda la NSSF wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE ALIHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA

 Rais Kikwete akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa akilivunja rasmi Bunge hilo la 10 mjini Dodoma jana. Aidha Rais Kikwete alitangaza ukomo wa Bunge hilo kufikia Agosti 20...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA

MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI, MENEJIMENTI NA WAFANYAKAZI WOTE WA KAMPUNI YA UWEKEZAJI YA UTT (UTT-AMIS) WAMEPOKEA KWA HUZUNI MKUBWA HABARI YA KIFO CHA ALIYEKUWA MWENYEKITI MUASISI WA DHAMANA YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA HUAWEI ILIVYOZINDUA SIMU YA P8

 Mkurugenzi wa  Masoko na bidhaa wa Huawei ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini Jaco Van Zyl akielezea matumizi  simu  mpya ya Huwei P8 wakati wa  hafla ya uzinduzi iliyofanyika katika klabu ya Country...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANK OF AFRICA YAFUTURISHA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mkuu wa Bank Of Africa Tanzania (BOA), Ammish Owusu Amoah akizungumza katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake na kufanyika katika hoteli ya Serena...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONESHO LA YOUNG SCIENTISTS TANZANIA (YST) KUFANYIKA AGOSTI 5-7 DIAMOND JUBILEE

 Mkurugenzi wa Chama cha Wanasayansi vijana wa Tanzania, Dk.Kamugisha Gozibert  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo picha) kuhusu onesho la  Young Scientists Tanzania (YST) kwa mwaka wa 2015 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM CHAANZA JIONI HII MJINI DODOMA KUSAKA TANO BORA...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini...

View Article
Browsing all 10759 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>