Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWAWEZA: CCM NDIO CHAMA KINACHOPENDWA ZAIDI

Asilimia 62 ya wananchi wanasema kwamba wanajisikia wapo karibu zaidi na chama cha CCM kuliko vyama vingine. Aidha, walipoulizwa watawachagua wagombea wa chama gani – bila kutajiwa majina ya wagombea –...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGGREY&CLIFFORD YATOA MSAADA WA MADAWATI SHULE YA MBUYUNI

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Mussa Natty akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa madawati na vifaa vya elimu kwa ajili ya shule ya msingi Mbuyuni kutoka kampuni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE

Meneja msaidizi wa kituo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre,Sophia Moshi akibadilishana mawazo na meneja mkuu wa kituo hicho,Claus Heim.************* Mahmoud Ahmad,ArushaSerikali imeombwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA YAFUNGUA PAZIA LA WANAOTAKA UWAKALA 2016

Kamati ya Miss Tanzania inapenda kuwatangazia wadau wote wanaotaka kuandaa Mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa mwaka 2016 kutuma maombi yao ya uwakala kuanzia sasa hadi tarehe 30 Novemba 2015...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA

Na Woinde Shizza,ArushaBaada ya kutokuwepo kwa mbio za riadha zijulikanazo kama mount meru Marathon kwa miaka 15 sasa ,hatimaye wadau wa mchezo wamjitokeza na kurudisha mbio hizo ambazo zinatarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA

Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea  Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA...

 RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAR TIME MEDIA WADAHAMINI LIGI DARAJA LA KWANZA (FDL)

Kampuni ya StarTimes Media ya jijini Dar es salaam leo imeingia mkataba wa udhamini na TFF kudhamini Ligi Daraja la Kwanza nchini (FDL) inayoshirikisha timu 24 kutoka katika mikoa 16 ya Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ASIMAMISHA MJI WA MASASI LEO

Mgombea wa Ubunge anaekubalika na wananchi wa Masasi kupitia Mwamvuli wa Chama cha Wananchi CUF, Ismail Makombe (Maarufu Kundambada), akizungumza machache na wananchi hao waliofurika kwa wingi kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFISA MTENDAJI MKUU WA SHEAR ILLUSIONS AFRICA AWATAKA WANAWAKE KUDHUBUTU

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusion Africa Ambao ni wazalishaji wa Bidhaa za Luv Touch Manjano Mama Shekha Nasser (Kushoto )Akimkabidhi Cheti Mshiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali Hafla iliyofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS AWASILI MAREKANI NA ASTAAJABISHA WATU KWA KUTUMIA GARI DOGO AINA...

NIZIARA ya kwanza ya kihistoria kwa kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kuzuri Marekani tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. Papa Francis mwenye umri wa miaka 78, ameingia nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMITA WASHINDA TUZO YA MAZINGIRA YA UN

Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo  wa Umoja wa Mataifa ( UNDP), Helen Clark (kushoto) akiwa na Mcheza  senema  maarufu na mwanaharakati wa Mazingira, Alec Baldwin (katikati)  na Mkewe, Hilaria Thomas wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA...

 Mratibu wa Veta kanda ya Dar es Salaam Bi. Frorence Kapinga akiwakaribisha wakuu wa vyuo vya ufundi vyenye usajili wa awali wa VETA kanda ya Dar es Salaam kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AWAPA ZAWADI YA IDD MAHABUSU YA WATOTO ARUSHA

Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha,Addoh Mapunda(wa pili kulia)kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi za Idd el Hajj Meneja wa Mahabusu ya Watoto mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUZIONA SIMBA Vs YANGA 7000/-

Viingilio vya mchezo wa watani wa jadi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania utakaochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam vimetangazwa leo ambapo kiingilio cha chini kitakua ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MDAHALO NA UTAFITI WA TWAWEZA.

Januari Makamba, Mjumbe wa NEC na Kamati ya Kampeni ya CCM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAZINDUA KIFURUSHI CHA “YATOSHA NYTS” BILA KIKOMO

Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kulia) na Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki wakionyesha bango kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kama ishara ya kuzindua huduma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AFANYA KAMPENI GEITA

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania   kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi katika mkutano wake wa kampeni  uliofanyika katika uwanja wa shule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LINDI WAO NI LOWASSA NA UKAWA TU

Umati wa Wananchi wa Lindi Mjini, wakiwa katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA

Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana saccos wa kata ya MsiganiSehemu ya akina mama wa Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela MukangaraDkt Fenela Mukangara akiagana na akina mama wa kata ya Msigani...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>