Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA AJALI YA CHOPA KUTOKA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDC WAAHIRISHA UWEKAJI JIWE LA MSINGI MRADI WA LIGANGA & MCHUCHUMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA...

Mgombea Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Mohamed Shein akimnadi Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli mbele ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ORODHA YA WAPIGA KURA KWA MKOA NA JINSIA HII HAPA

 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo jipya la makao makuu ya NMB na tawi jipya la NMB Private Banking kwenye jengo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO: IBRAHIMU ZUBEIR 'KIKATIO' CHAKO CHA UCHAGUZI KIMEOKTWA

Ibrahim Zubeir, Mkazi wa Karume, na ambaye ulijiandikisha katika Kituo cha Serikali za Mtaa B, tafadhali wasiliana na msamaria mwema mwenye namba hii 0713411444 upate 'KIKATIO CHAKO' ulichopoteza....

View Article

JARIDA LA WIKI NISHATI NA MADINI TOLEO LA 89

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAMUAGA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA NDUGU ZAKE NYUMBANI KWAKE...

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam leo mchana. Majeneza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZIKO YA CAPT. WILLIAM SILAA KUFANYIKA LEO MAKABURI YA RC PUGU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COKE STUDIO YAPELEKA SHANGWE KWA WANAFUNZI MBEYA,DAR, ARUSHA NA MWANZA

Wanafunzi wakipozi na vinywaji vyao vya Coke wakati wa tamasha la Koke Studio.*****************Shangwe ya Coke studio yaleta furaha kwa wanafunzi mashuleni -Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SILLASMBUYA NA ANCILLA WALIVYOMEREMETA

 Bwana na Bibi harusi wakiingia kanisani kwa ajili ya kufungishwa ndoa katika kanisa la KKKT Sinza jana Jumapili.(Picha na Geofrey Adroph)   Mchingaji akitoa neno kwa wanandoa hao waliofunga pingu za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA...

 Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni nahodha wa timu ya viongozi wa dini, Alhadi Mussa Salum, akinyanyua juu kikombe cha ushindi wa pili baada ya kumalizika kwa pambano la soka kati ya viongozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM YAJIPANGA KUZUIA MIMBA MASHULENI

Mgeni rasmi katika mahafali hayo,Geogia Mutagahywa alishindwa kujizuia wakati wanafunzi wa shule hiyo wakitoa burudani kwa wageni waalikwa.Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE KANDA YA ZIWA, ASEMA TANZANIA YA KESHO...

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea kufanya vyema katika mikutano yake kanda ya ziwa kwa kupita sehemu mbali mbali ikiwepo Mabatini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ALIVYOTIKISA JIJI LA MBEYA KATIKA MKUTANO WAKE WA KAMPENI

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Mbeya katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika...

View Article

TANGAZO LA KIFO CHA LINUS ANDEA SALEMA

Familia ya marehemu Andrea Joseph Salema inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yao Linus Andrea Salema kilichotokea tarehe  18.10.2015 katika hospitali ya Moravian –Sikonge Tabora. Mipango ya mazishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGRICS YAKABITHI MBEGU ZA MAHINDI NA ALIZETI KWA WAKULIMA MKOANI SHINYANGA NA...

Afisa Miradi wa kampuni ya Agrics Ltd, Bwana Semeni Kime (wa pili kulia) akifurahi na wakulima wa kijiji cha Mwakabeya baada ya kuwakabidhi wakulima hao mbegu za mahindi, alizeti pamoja na mbolea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITIMU ADILI HIGH SCHOOL WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Adili High School,Moshono Jijini Arusha,Profesa Raymond Mosha akiangalia kazi zilizoandaliwa na wanafunzi wa masomo ya Sayansi ikiwa ni...

View Article

20 WACHAGULIWA KUSHIRIKI KATIKA SHINDANO LA BONGO STYLE

Kipande cha Video ya mahojianoKuelekea Shindano la Bongo Style  Competition , Ambalo linatarajiwa kufanyika Mwishoni mwa mwezi wa Kumi na moja mwaka huu, Majaji wamefanikiwa kuwapata washiriki ambao...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>