Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWIGA BANCORP YASHIRIKIANA NA SUNNRGY SYSTEMS KUSAIDIA WAKULIMA KILIMO CHA...

Mkuu wa Idara ya Uendeshaji wa Shughuli za Kibenki wa Twiga Bancorp Limited, Richard Kombole (kulia), akijadili jambo na wafanyakazi wengine wa Benki hiyo waliopo katika Banda la Maonesho ya Nane Nane...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHAMA WA HABARI GROUP WAPELEKA MISAADA VITUO VYA WATOTO YATIMA

Diwani wa Viti Maalumu na Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Fonditioni, Aisha Sururu kulia akiwakabidhi sehemu ya msaada alioutoa kwa ajili ya kuchangia watoto yatima kwa wanachama wa kikundi cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CATHERINE FOUNDATION YATOA MKONO WA IDD EL FITIRI KWA YATIMA ARUSHA

 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha na Mkurugenzi wa Taasisi ya Catherine Foundation, Catherine Magige akikabidhi msaada wa vyakula na vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Help for...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO NDANI YA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE NZUGUNI DODOMA

IDARA ya Habari MAELEZO ni Moja ya Taasisi za Serikali zilizo chini ya Wizara ya Habari, vijana Utamaduni na Michezo ambayo ndio Idara yenye jukumu la kusimamia na kuratibu shughuli zote za habari za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA RUKWA ATEMBELEA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE NYANDA ZA JUU...

 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya (katikati) akikagua mfumo wa umwagiliaji bustani za mbogamboga katika maonesho yanayoendelea ya nanenane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GS 1 TANZANIA NDANI YA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA NZUGUNI-DODOMA

 Kampuni ya GS1 Tanzania National Limited ni kampuni inayojishughulisha na na utoaji wa huduma za Barcode kwa Bidhaa za Kitanzania. Kampuni hii Mwaka huu ipo ndani ya Banda la Viwanda na Biashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA VIJANA NA RASILIMALI ZA TAIFA LAFANYIKA DAR

 Mwenyekiti wa Kongamano la Vijana na Rasilimali, lililofanyika leo RiverSide, Ubungo jijini Dar es Salaam, Christopher Ngubiagai, akifungua mjadala kuhusu mada mbalimbali. Kushoto ni Waziri wa Nishati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKOA WA VYUO VYA ELIMU YA JUU CCM WAFANYA KUBWA LA WASOMI WA VYUO VIKUU...

 Sehemu ya Vijana wa Vyuo Vikuu walioshiriki Kongamano la kujadili Rasimu ya Katiba Mpya na Rasilimali za nchi yetu. Baadhi ya Mafisa wa Mkoa wa Vyuo Vya Elimu ya Juu CCM wakiwa na mgeni rasmi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA IDD MOSI DAR LIVE: WASANII, MABONDIA WALONGA NA WANAHABARI

Meneja wa Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu burudani mbalimbali zitakazokuwepo Dar Live sikukuu ya Idd Mosi. Mwanamuziki H - Baba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA KCB YATOA MISAADA YENYE THAMANI YA SHILINGI TSH 7,200,000 KWA...

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB, Christina Manyenye, akimkabidhi Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani (kushoto), moja ya vifaa tiba vyenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI WAIOMBA SERIKALI KUONDOA KODI KATIKA ZAO LA ZABIBU

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distileries Limited (TDL), David Mgwassa, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu kuiomba serikali kuondoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA MAELEZO-MWAMBENE NA MKURUGENZI WA UTAMADUNI-MWASOKO WATEMBELEA...

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Assah Mwambene (kulia) akizungumza jambo wakati yeye na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kutoka wizara ya  Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA MAJENGO (TBA) KATIKA MAONESHO YA NANE NANE NZUGUNI DODOMA

Wakala wa Majengo (TBA), ulianzishwa mwaka 2002 kupitia Sheria ya Wakala Namba 30 ya mwaka 1997. Lengo la kuanzishwa TBA ni kutoa huduma bora na ya gharama nafuu ya makazi kwa watumishi wa umma na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPINZANI WACHEZEA KICHAPO KIBONDO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akizungumza na madiwani wa CCM wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wiki iliyopita.Katika hali inayothibitisha ule usemi wa mwanamuziki Chamilion wa Uganda kuwa "fitina yako...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAHANGA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM WAKAGUA UJENZI WA MIUNDOMBINU...

 Mbunge wa Jimbo la Segerea, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akiwaonesha wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ilala (Jimbo la Segerea), kituo kipya cha Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA MAJENGO (TBA) KATIKA MAONESHO YA NANE NANE NZUGUNI DODOMA

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Segerea, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, wakati wa kula  futari iliyoandaliwa na...

View Article

MR BLUE KATIKA SPORAH SHOW, LONDON

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI MKOANI TABORA KUHUDHURIA SWALA NA BARAZA LA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Tabora, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI KUUKABILI UHALIFU KISASA ZAIDI

Mkurugenzi wa Kampuni ya kizalendo ya Kotes (T) Ltd, Max Komba (wapili kulia-waliosimama), akikagua uchimbaji mtaro kwa ajili ya kutandika nyanya za mfumo wa mawasiliano kwenye kituo cha Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEHE PONDA ADAIWA KUJERUHIWA NA RISASI MOROGORO

 KATIBU wa Jumuiya ya Kiislamu nchini , Shekhe Ponda Issa Ponda, alijikuta katika wakati mgumu baada ya kuumizwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni risasi kwenye bega lake la kulia wakati akiekelea katika...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>