Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja wa Airtel money kunufaika na huduma za kibenki

Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Airtel money imeanzisha ushirikiano na benki mbalimbali nchini na kuwawezesha wateja wake kuhamisha pesa kutoka kwenye benki akaunti zao na kuziweka kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFDA KUWAENDELEZA WAJASIRIAMALI WA CHAKULA

Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Bi. Gaudensia Simwanza KUSHOTO akieleza kwa waandishi wa Habari kuhusu mpango wa mafunzo na Ufuatiliaji kwa wazalishaji wadogo wa bidhaa za Chakula...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLARA BAYO ALIVYO SHINDA TAJI LA REDD'S MISS TANZANIA SPORTS WOMAN 2013

 Mrembo Clara Bayo akipunga mkono mara baada ya kutangwazwa kuwa mshindi wa Taji la Redd's Miss Tanzania Sports Woman 2013 juzi wakati wa tamasha la michezo la warembo wanao wania taji la Miss Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMALAWI WAMIMINIKA UHAMIAJI DAR KUJIORODHESHA JUU YA UHALALI WAO WA KUISHI...

Raia wa Malawi wakiwa katika foleni ya kuingia kujiandikisha katika Idara ya Uhamiaji, Mkoa wa Dar es Salaam jana kuhusu zoezi linaloendelea la kuwatambua wahamiaji haramu jijini Dar es Salaam. Mamia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA YALIYOJIRI MAGAZETI YA SERIKALI HII LEO

Kwa habari za kina na uhakika hakikisha hukosi nakala yako kila siku ya Daily News, HabariLeo na Spotileo (Jumatatu na Alhamisi) pia ni magazeti yaliyosheheni matangazo mbalimbali ya ajira, tenda na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEVERINA LWINGA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA PERSONALITY 2013

Mrembo Severina Lwinga juzi alifanikiwa kuwa mrembo wa tano kuingia nusu fainali ya shindano la Redd's Miss Tanzania 2013 baada ya kutwaa taji la Miss Personality 2013. Mshindi wa taji hilo anapatikana...

View Article

NAPE: CHADEMA WAWEWESEKA

CHADEMA WAWEWESEKA!  ~.Ni baada ya Kinana kupeleka neema ya wakulima wa pamba(soko na bei).~. Ujenzi wa viwanda Shinyanga wawapa homa~. Ajira kwa vijana kuwakosesha Chadema waandamanaji.~. Waishia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHINDA GARI LA KUSAMBAZIA BIDHAA ZA WHITEDENT

Meneja mauzo wa Chemi &Cotex Industries Limited RiyazDewji (kulia) akikabidhi funguo yagari kwa ajili ya kusambaza bidhaaza whitedent kwaMenejawakampuni yaMulla Abdulhussein iliyopo Tanga Bw. Ali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RPC MORO AIBARIKI ANATORY POOL CLUB

 RPC wa Mkoa wa Morogoro,Faustine Shilogile akisalimiana na Mkurugenzi wa Anatory Pool club,Anatory Makasi alipotembelea ofisini kwake kutambulisha club yake kuwa ndio wanaopeperusha bendela ya mkoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARSHA KWA BLOGGERS TANZANIA KUTOKA TCRA

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akiwasilisha mada ya kwanza juu ya Ukubwa wa Sekta ya Mawasiliano hapa nchini wakati wa Warsha ya siku mbili kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 6 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN

Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)  Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika mitano sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925-18/09/2007)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VOTE FOR DR.FRANCIS MHIMBIRA

Francis Mhimbira, MD, Ifakara Health InstitutePease click here to visit the site (http://applications.grandchallenges.ca/en/viewVideo/28735E6AA0E63EB356AAAECB) and vote for Dr Mhimbira.Application:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAFURIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MOSHI KUSIKILIZA KESI YA MAUAJI YA...

 Maelfu ya wananchi waliofurika katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi, Mkoani Kilimanjaro, wakifuatilia kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini wa Mererani, Erasto msuya , aliyeuwawa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKOMAA NA MAWAZIRI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa kwa kahawa katika kijiji cha  Budalabujiga wilaya ya Itilima mkoani Simiyu ambapo Katibu Mkuu alifanya ziara ya siku moja wilayani hapo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Redds Miss TZ wataja wasanii na viingilio

Na Mwandishi WetuWAKATI zikiwa zimebaki siku tatu ili Redd’s Miss Tanzania ajulikane, viingilio kwa ajili ya shindano hilo linalosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanzania wengi vimetangazwa. Kiingilio cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAIUA MGAMBO JKT 6-0 WAKATI YANGA LAKUVUNDA HALINA UBANI HUKO MBEYA

 Mshambuliaji wa Simba Betram Mwombeki akichuana kumtoka mlinzi wa Mgambo JKT Bakari Mtama wakati wa mchezo wa ligi kuu baina ya timu hizo uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam hii leo. Matokeo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE BARIADI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba matofali kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya balozi Joyce Safari  wa shina namba 12 tawi la Isenge kata ya Dutwa.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaagiza Ununuzi wa Mahindi Safi na Bora

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. William V. Lukuvi amewaeleza wakala wa Hifadhi ya Chakula NFRA kuzingatia ubora na usafi wa ununuzi wa mahindi kwani mahindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATA YALIYOJIRI LEO MAGAZETI YA HABARILEO, DAILY NEWS NA SPOTILEO

Hakikisha unapata nakala yako ya magazeti haya nakujua kwa kina habari zilizojiri ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Pia kuna matangazo lukuki ya Ajira, Tenda na fusra nyingine kibao za kuweza...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>