Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA ZA HAFLA YA KUKABIDHI RASIMU YA PILI YA KATIBA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Joseph S. Warioba mara baaada ya kuwasili katika viwanja vya Karimjee Hall kupokea Rasimu ya Pili ya Katiba....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2014

Majina ya wanafunzi wa darasa la saba 2013 ambao wamefaulu na kuchaguliwa kujiunga na masomo ya sekondari (kidato cha kwanza) mwaka 2014 yanapatikana katika mbao za matangazo katika shule za Msingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AKUTANA NA WAPIGA KURA WAKE MONDULI

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, akifurahia jambo na wapiga kura wake kutoka kata ya Moita alipomtembelea nyumbani kwake Ngarashi Monduli, kumpa mkono heri ya mwaka mpya.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDDS MISS TANZANIA 2013 KULA MWAKA MPYA 2014 NA YATIMA WA NIRA MBAGALA

Kama tulivyotoa taarifa kwa vyombo vya habari hapo awali   wakati wa Sikukuu ya Noel[Christmass ] Redds Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa, baada ya kujumuika na watoto waishio katika mazingira...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMWAPISHA IGP MPYA PAMOJA NA NAIBU WAKE LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Inspekta Generali wa Polisi (IGP) mpya Afande Ernest Mangu katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam jioni hii  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpatia nyenzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA KIPERA MOROGORO AKWEA MNARA UBUNGO NA KUGOMA KUSHUKA HADI AMUONE RAIS

 Askari wa Kikosi cha Zima moto na Uokoaji Wakiwa wamepanda juu ya Mnara wa Simu Uliopo Ubungo Jijini Dar Es Salaam Muda mfupi uliopita kwaajili ya kumuokoa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA DK.WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA, KIKWETE ATUMA RAMBIRAMBI

Waziri wa Fedha, Dk. WilliamAugustaoMgimwa (63) amefariki dunia.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AUPOKEA MWAKA MPYA KIJIJINI KWAKE NGARASHI

 Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina Lowassa.Lowassa akiwasalimia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA MWAKA MPYA UFUKWENI HII LEO

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakijumuia na wenzao kufurahia mwaka mpya katika ufukwe wa bahari ya hindi eneo la Coco leo.  Picha za kumbukumbu nazo zilipigwa na mpigapicha nae akapigwa picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR ES SALAAM WALIVYOUPOKEA MWAKA MPYA 2014

  Waumini wa Kikristo wakiwa katika ibada ya mkesha wa Mwaka Mpya 2014 katika Kanisa la KKKT Azania Front jana. Vijana wa KKKT Usharika wa Azania Front wakifanya yao mbele za Mungu katika sifa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWA FC YAWABANA MBAVU TWANGA FC LEO

 Beki wa timu ya Taswa Fc Sufianimafoto (kulia) akiwania mpira na mshambuliaji wa Twanga Fc, wakati wa mchezo wa kirafiki wa Bonanza la kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya wa 2014, lililofanyika...

View Article

SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA SAIDI MBELWA ALIPIZA KISASI KWA AMBOKILE CHUSA

Bondia Said Mbelwa  kushoto akimchachavya Amokile Chusa wakati wa mpambano wao wa kufungua mwaka Mbelwa alishinda kwa K,O ya raundi ya tano mwaka 2010 mbelwa alipigwa kwa pointi na Chusa hivyo kulipiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU AZIDI KUWAAIA KAZI WATANZANIA UGHAIBUNI

 Mwenyekiti wa Wakala wa Kituo cha Kazi cha Bravo, ambaye pia ni Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (wa pili kulia) akimkabidhi Mkazi wa Chamazi, Dar es Salaam, Warda Ibrahim tieketi na nyaraka zingine kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA MADEREVA TAXI IRINGA ''YAIGAGADUA'' 2-1 TIMU YA MADEREVA DALADALA...

Mgeni  rasmi  katika mashindano hayo kamanda wa  polisi  mkoa wa Iringa,Ramadhan Mungi akikabidhi  zawadi kwa mshindi wa  pili timu  ya daladala  Iringakamanda  wa  polisi  mkoa  wa Iringa Ramadhan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA AKUTANA NA JUKWAA LA WAHARIRI NCHINI (TEF) NA BARAZA LA HABARI...

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto) akikabidhi nakala za Rasimu ya Katiba kwa Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena (katikati) wakati wa mkutano baina ya...

View Article

SAFARI YA LOWASSA ALIPOANZA SAFARI YA KUTIMIZA NDOTO ZAKE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Kangoye awafunda vijana kuleta mageuzi makubwa kiuchumi

MKUU wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Christopher Kangoye, amesema vijana wakiwezeshwa kikalimifu kushiriki shughuli za uzalishaji, umasikini Tanzania utakuwa historia.Pia, amewaasa vijana kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA MAKAMU WA RAIS KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR

 Wasanii wa kikundi cha ngoma kutoka Pemba wakitumbuiza katika maonyesho ya kuadhimisha miaka 50 ya  Mapinduzi mjini Zanzibar Sehemu ya wafanyakazi  kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PHILLIP MANGULA AWATAKA VIONGOZI WA MATAWI KUSIMAMIA IPASAVYO KANUNI ZA...

Makamu mwenyekiti taifa wa chama cha mapinduzi (CCM) Phillip Mangula amewataka viongozi wa matawi kusimamia ipasavyo kanuni za uchaguzi na uongozi na maadili wa chama hicho kwa kupiga vita rushwa hasa...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>