Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANUARI MAKAMBA AFUNGA KONGOMANO LA MFUMO WA UHAMAJI KUTOKA ANALOJIA KWENDA...

 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba akitoa hotuba yake wakati wa kufunga kongamano la siku tatu la uhamaji wa mfumo wa utangazaji kutoka Analojia kwenda Dijitali kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI SINGIDA WAKAMATA SHEHENA YA PEMBE ZA NDOVU

Jeshi la polisi mkoani SINGIDA limekamata vipande 21 vya meno ya Tembo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43.Nyara hizo za serikali zimekamatwa katika  kijiji cha MWAMAGEMBE  wilayania MANYONI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA,JIJINI...

  Mgeni Rasmi katika Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal akitoa hotuba yake wakati wa Ufunguzi wa Kongamano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMAYE, LOWASSA, NGELEJA WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM; MAKAMBA, MEMBE NA...

 Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye akiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma tayari kwa kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili. Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMMY MWALIMU AFUNGUA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA MADIWANI WANAWAKE KUTOKA...

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Ummy Mwalimu akizungumza wakati wa mafunzo ya siku mbili kwa madiwani wanawake kutoka halmashauri zote za jiji la Tanga.Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Uongozi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASIRA, JANUARI MAKAMBA NAO WAKIINGIA KIKAANGONI CCM LEO

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Ndugu Stephen Wassira akzungumza na waandishi wa habari baada ya kuhojiwa na kamati ya maadili ambapo alisema hakukuwa na tuhuma zozote zaidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JHIKOMAN AWASHA MOTO SAUTI ZA BUSARA 2014

               Na Andrew Chale, Zanzibar. MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Afro rege, Jhikoman Manyika   jana usiku Februari 13,  aliwasha moto  kwa kupiga shoo ya nguvu iliyodumu kwa lisaa limoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWIGA STARS YAKUBALI KICHAPO CHA 2-1 ZAMBIA

Twiga Stars imepoteza mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) baada ya leo kufungwa mabao 2-1 na Zambia (Shepolopolo) kwenye Uwanja wa Nkoloma...

View Article


World leaders meet to tackle animal poaching

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA LAENDELEA LEO KWA SIKU YA PILI JIJINI...

 Mwenyekiti wa Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,Mh. George Kahama (liesimama) akitoa muongozo wa namna vikao vitakavyokuwa vinaendelea kufanyika katika kumbi mbali mbali ndani ya Hoteli ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU ABDILAHI O.JUMA AOMBA MAOMBI YENU

Salam kwa Bloggers wenzangu kokote mliko         Napenda kuchukua fursa hii kuwataarifu kuwa hivi karibuni nilipata ajali ambayo ilinipelekea kuvunjika kwa mfupa uliopo baina ya shingo. na bega hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWF kuandaa hafla ya family day machi 15 escape one jijini dar,wanawake...

 Mchoro wa tuzo ya Mwanamakuka kama uonekanavyo pichani Kushoto ni Meneja wa Mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Umoja wa Wanawake Marafi (Unit of Women Friends).Bi Maryam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM KUBAKIA NA MSIMAMO WA MFUMO WA SERIKALI MBILI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma kuhusiana na msimamo wa chama hicho kubakia katika mfumo wa serikali mbili..

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OILCOM VS ALOSCO HAKUNA MBABE

 Vijana machachari wa Oilcom wakiwa  katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Alosco na kutoka nao sare ya bao 2-2. Kikosi Kamili cha Alosco kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA...

alMwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KAMPENI YA VIRUTUBISHI CHAKULA

 Wanafunzi wakigawiwa vipeperushi vyenye maelezo ya virutubishi kutoka kwa waendesha kampeni wa mradi wa Usaid Tuboreshe Chakula katika kampeni inayoendelea wilayani Manyara Wanafunzi wa shule wakipata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAWAPA ONYO KALI SUMAYE, LOWASA, MEMBE, MAKAMBA, WASSIRA NA NGELEJA

Kati ya tarehe 13/02/2014  na tarehe 18/02/2014 kumekuwa na mfululizo wa vikao kadhaa vya Chama kitaifa vilivyoshughulikia suala la maadili ndani ya Chama.Vikao hivyo ni pamoja na Kamati Ndogo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANDU AMIR KIFICHO ACHAGULIWA MWENYEKITI WA MUDA BUNGE LA KATIBA

Spika wa Bunge la Zanzibar, na Mbunge wa Bunge maalum la Katiba, Pandu Amir Kificho amechaguliowa kwa kura zaidi ya 300 kushika nafasi ya Uwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba jioni hii.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA TOKA UINGEREZA KWA MAMA WA MAPACHA WANNE WA MBEYA

Misaada ya hali na mali imeanza kumiminika kwa ajili ya Aida Nakawala (25) mkaazi wa kijiji cha Chiwanda, Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, ambaye alijifungua watoto wanne mapacha kwa mkupuo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WAOMBWA KUDHAMINI MAONYESHO YA KAZI ZA VIJANA WAJASIRIAMALI YATAYONYIKA...

Mkurugenzi wa Mtendaji wa Kampuni ya Aj It Development  Bw Jackson Audiface akizungumzia  kuhusu Maonyesho ya Tatu ya Kazi za Vijana wajasiriamali Yatakayofanyika Mkoani Dododma Mwezi Aprili mwaka...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>