Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10591 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA NA TIMU YAKE WATINGA MANYARA KIKAZI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Mangara wilaya ya Babati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI DK. MUKANGARA AWASILISHA BUNGENI HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA HABARI,...

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akiwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015 mjini Dodoma jana. Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA

Marehemu Shigela ezni za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania Hoyce Temu.Mtoto Shigela amefariki dunia asubuhi ya leo tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO WANAOSHINDANIA MISS TABATA 2014 WAENDLEA KUJINOA KWENYE UKUMBI WA DAR...

 Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hilo na fainali itakalofanyika siku ya Ijumaa tarehe 06/06/ 2014. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Six Telecoms, Tata Communications wazindua mtandao wa VPN

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Six Telecoms Limited, Rashid Shamte akizungumza katika uzinduzi wa mtandao wa Virtual Private Network (VPN)    kwa kushirikiana na kampuni maarufu ya mawasiliano duniani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO KWA WATEJA WA ZuRii BOUTIQUE.

Kwako mteja wetu wote wa ZuRii Boutique, Tarehe 30 May 2014 ndo itakuwa mwisho wetu pale tulipo kwa sasa Sinza Legho. ZuRii Boutique itahamia sehemu mpya na tutawajulisha tutakapo kuwa tayari. Asanteni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI PROF MUHONGO AWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI 2014/2015

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akiwasilisha Bungeni Hotuba ya Bajeti ya Makadirio na Matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2014/2015 Bungeni mjini Dodoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBULU NA HAI WATOANA JASHO KATIKA WAVU

Wachezi wa timu za mbulu na Hai za mchezo wa wavu ndani viwanja vya pentagon club nje kidogo ya jijini la  arusha wakati wa mchuano mkali hatua ya robo fainali katika mashindano ya mchezo wa wavu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA ZAHANAT YA TABATA NBC

 Ofisa Uhusiano Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) ,Dorris Malulu, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kisima kilichojengwa kwa msaada wa kampuni hiyo katika Zahanati ya NBC Tabata, Dar es Salaam. Kisima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA UINGERTEZA NCHINI TANZANIA ALALAMIKIWA BUNGENI

Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, amewasilisha leo malalamiko dhidi ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania kwa kuratibu na kufanya vikao na Wabunge bila idhini ya ofisi ya Spika wa Bunge.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANZA KUMEKUCHA-WASANII WAWASILI KWENYE KILI MUSIC TOUR

  Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Kili Music Tour litakalofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mbeya Jumamosi huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kili music tour yavunja rekodi Mwanza

 Vanessa Mdee na Fid Q wakishirikiana kutoa burudani wakati wa show ya Kilimanjaro Music Tour iliyofanyika katika Uwanja wa Kirumba na kuwavutia maelfu ya mashabiki. Ziara hii inadhaminiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WA HABARI WAASWA KUSHIRIKIANA NA TMF ILI KUPUNGUZA UTEGEMEZI WA...

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa mradi wa mafunzo ya bure kwa waandishi wa habari kwenye maeneo matano, sekta ya uchimbaji, unyanyasaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA KUHUTUBIA MERERANI LEO

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Orkesumet ambapo aliwambia ahadi za Rais zitatekelezwa kama zilivyoahidiwa kwa wananchi wa Simanjiro.Katibu Mkuu pia alisisitiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREHEMU NASRA MVUNGI KUAGWA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO

Uwanja wa JAMHURI mkoani Morogoro utatumika kumuaga mtoto Nasra Mvungi aliyefariki jana alfajiri  hospitali ya Muhimbili. Hayo yamesemwa na Ofisa ustawi wa jamii mkoani Morogoro, Oswin Ngungamtitu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO MZEE WETU MOURICE...

MDAU WETU BEATRICE SINGANO  AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA  MZEE MOURICE NOEL SINGANO, MZEE WETU M.N. SINGANO ALIFARIKI  TAREHE 31/05/2014. NCHINI  INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AZIKWA

Baadhi ya Wabunge wakiwa katika msiba wa mama mzazi wa Mbunge mwenzao Zizzto Kabwe (wapili kushoto aliyefuatana na baba yake Zuberi Kabwe) mjini Kigoma na Juu ni Kaburi alipo zikwa mama mzazi wa Zitto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MAREHEMU NASRA WAWASILI MOROGORO KUZIKWA KISHUJAA

Jeneza lenye mwili wa marehemu Nasra Rashid likibebwa kuingiza katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro ukitokea Dar es Salaam ambako mtoto huyo alilazwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MOROGORO, MBUNGE ABOOD, NA WANANCHI WAMZIKA MTOTO NASRA

 Hatimaye Mtoto Nasra Mvungi aliyefariki Juni mosi mwaka huu kufuatia kuaishi katika matesa makubwa kutoka kwa mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki na kuishi katika boksi bila huduma muhimu...

View Article

MBUNGE WA SIMANJIRO OLE SENDEKA AKUMBUSHIA UWEZO WAKE KATIKA MASHAIRI

View Article
Browsing all 10591 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>