MUGABE AMTUNUKU NISHANI BRIGEDIA HASHIM MBITA
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Rais Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe akimkabidhi Bi. Sheila Hashim Mbita, binti yake Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita Tuzo ya...
View ArticleMKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA...
Mkurugenzi wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha Bw Robert Francis akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya...
View ArticleWASANII KILI MUSIC TOUR WAMFARIJI AFANDE SELE MSIBA WA MKEWE
Baadhi ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour lililofanyika mkoani Dodoma jana,leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa Rhymes a.k.a Simba Mzee a.k.a Afande Sele kumpa mkono wa pole...
View ArticleSERIKALI KUWASHIRIKISHA VIJANA KATIKA PROGRAMU ZA MAENDELEO
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani kwenye viwanja...
View ArticleS & D COLLECTION YAJITOSA UDHAMINI MISS TANZANIA 2014
Mkurugenzi wa Kampuni ya S & D Collection, Devota Kijogoo Mtambo akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati akitangaza udhamini wake katika Shindano la Miss Tanzania 2014. Pamoja...
View ArticleJaji Lewis Makame afariki Dunia
Taarifa iliyoifikia hivi punde,inaeleza kuwa aliewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini,Jaji Mstaafu Lewis Makame (pichani) amefariki dunia mchana huu katika hopitali ya Hospital ya AMI...
View ArticleBENKI YA POSTA KUTOA MIKOPO KWA WANACHAMA WASTAAFU WA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
Kutoka kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta (TPB), Sabasaba Moshingi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na baadhi ya viongozi meza kuu wakiwa wameshikana mikono na kuinyanyua juu...
View ArticleTAHARUKI: BOMBA LA MAFUTA LA TAZAMA LAPASUKA GONGO LA MBOTO
Na Father Kidevu Blog.Bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam Tanzania hadi Nchini Zambia lijulikanalo kama TAZAMA limetobolewa na mafundi waKampuni ya Raddy...
View ArticleKATIBU MKUU UJENZI AKAGUA UKARABATI WA MV KIGAMBONI LEO
Brigedia Jenarali Rogastian Shaban Laswai akitoa ufafanuzi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe kuhusiana na maendeleo ya ukarabati wa Kivuko cha Mv Kigamboni. Wa pili kulia ni...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MASELE AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI...
Balozi wa China nchini Tanzania Dr. LU Youqing (kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele juu ya hatua iliyofikiwa ya maandalizi ya kongamano la China – Afrika...
View ArticleMazungumzo na Salma Moshi kuhusu uchaguzi DMV
Salma Moshi akizungumza na Mubelwa Bandio kwenye mahojiano hayaAgosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu. Matokeo yake...
View ArticleMISS TEMEKE 2014 HIYOOOOO!!
Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la picha,ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC klabu Chang'ombe jini Dar es...
View ArticleMABASI YAGONGANA USO KWAUSO SIKONGE NA KUUA 17 LEO
Watu 17 wanaripotiwa kufa katika ajali iliyotokea hii leo Wilayani Sikonge Mkoani Tabora baada ya mabasi mawili kugongana uso hii leo. Mabasi hayo ni Sabena lililokuwa likitokea mkoani Mbeya na basi la...
View ArticleMAANDALIZI YA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo...
View ArticleKAMATI KUU YA CCM YAKUTANA DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiingia kwenye ukumbi wa NEC Dodoma ,akiongozana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana tayari kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri...
View ArticleTAARIFA KWA WABUNGE NA WAGOMBEA WATARAJIWA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2015 TANZANIA
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais unataraji kufanyika hapo mwakani, Wabunge na wanaotaka kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini hata urais mnakaribishwa kuandaa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI...
View Article