UPDATE: ZA AJALI YA ILIYOTOKEA MUSOMA HII LEO 39 WAPOTEZA MAISHA
Basi la J4 Express T677CYC lililokuwa linatoka Sirari kwenda Mwanza limegongana uso kwa uso na basi la Mwanza Coach T736AWJ leo mchana na watu zaidi ya 39 wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 70...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AFUNGA KAMBI YA UVCCM
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Mohamed Aziz Abood Akimkabidhi cheti Kada UVCCM Wilaya ya Morogoro mjini CCM,Wakati wa kufunga kambi ya UVCCM kutoka kata za Manispaa ya Morogoro eneo la Morning...
View ArticleWalawala CUP kuwasha moto Muheza
Mratibu wa mashindano ya OG Walawala Cup,Omari George (kulia) akipokea jezi zitakazotumika katika mashindano hayo kutoka Meneja Masoko wa Kampuni ya Isere Sports, Abas Ali Isere katika hafla fupi...
View ArticleDK.BINGWA WA SARATANI YA MATITI TOKA INDIA AFANYA MAZUNGUMZO HOSPITALI YA...
Profesa Pais (kulia), akizungumza na madaktari viongozi na madaktari wa Hospitali ya Bugando. Kutoka kushoto ni Daktari wa Kitengo cha Magonjwa ya Saratani wa hospitali hiyo Dk.Beda Likonda na...
View ArticleJULIAUS KISALAWE AMPIGA BONANS SAMWELI KWA POINTI KATIKA UKUMBI WA NDAME GYM
Bondia bonans Samweli kushoto akimrushia konde Julius Kisalawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Dar es salaam jana Kisalawe alishinda kwa point mchezo huo Bondia Julius Kisalawe...
View ArticleHABARI ZA SOKA KUTOKA TFF HII LEO
MBUNGE MTANDA KUFUNGA KOZI YA LESENI AMwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Mheshimiwa Said Mtanda anatarajia kufunga kozi ya ukocha ya Leseni A ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)...
View ArticlePOLISI WAWILI WAUWAWA KATIKA TUKIO LA KUVAMIWA KITUO CHA POLISI USHIROMBO GEITA
Askari wa wawili wa Jeshi la Polisi kituo Kikuu cha Ushirombo kilichopo Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wafefariki huku wengine wawili wakijeruhiwa baada ya kundi la majambazi kuvamia kituo hicho usiku...
View ArticleSIMBA HII BALAAAAAAA!!! YAITUPIA 3-0 GOR MAHIA YA KENYA, KIONGERA 'Modo'...
Kikosi cha kwanza cha Simba kilicho anza hii leo taifa dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Na Beatrice Mroki-Taifa Dar es SalaamAKIWA anaijua vyema timu yake ya zamani ya Gor Mahia ya Kenya, nyota mpya wa...
View ArticleDK. KINGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS 2015
Na Father Kidevu Blog Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mbunge wa Nzega Mkoani Tabora, Dk. Hamisi Nassor Kingwangala leo amevunja ukimya na kuweka wazi nia yake ya kuwania nafasi ya Urasi wa Jamhuri ya...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA: TOLEO LA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO
Mkurugenzi Huduma za Kibenki kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Emmanuel Boaz (kulia) na Mshauri wa Fedha kutoka ofisi hiyo Bw. Hassan Jarufu wakiwaonesha waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) Toleo...
View ArticleKILIMO NI BIASHARA Ukiiona fursa usipuuzie ifanyie kazi.
Binafsi naamini kuwa kilimo ni moja ya sekta ambayo kama tutaamua kwa dhati na tukawaelekeza watu wetu kuwekeza kidogo walichonacho kwenye kilimo huku tukitumia vema ushauri wa wataalamu wa kilimo na...
View ArticlePOLISI WENGINE WAWILI WAFA KATIKA AJALI KISARAWE.NI WA OYSTERBAY NA MKUU WA...
Jeshi la Polisi nchini limepata pigo jingine baada ya askari wake wengine wawili kutoka Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kkatika ajali huko Kisarawe mkoani Pwani hii leo. Waliopoyeza maisha ni mkuu wa kituo...
View ArticleOKWI RUKSA KUICHEZEA SIMBA
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Septemba 7 mwaka huu) na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mgogoro wa kimkataba kati ya klabu ya...
View ArticleNAPE ATOA DARASA KWA VIONGOZI WA CCM UINGEREZA
Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa mashina ya CCM Uingereza ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama...
View ArticleTamasha la 'Handeni Kwetu' lapania kuvunja rekodi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAMMRATIBU Mkuu wa Tamasha la Utamaduni Handeni, maarufu kama ‘Handeni Kwetu’, Kambi Mbwana, ameapa kuhakikisha kuwa tamasha lao msimu wa 2014 linakuwa la aina yake na...
View ArticleLAPF YAZINDUA HUDUMA MPYA YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANACHAMA WAKE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tamisemi, Mh. Hawa A. Ghasia, akitoa neno kwa wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya mkopo wa elimu ya juu‘Piga Kitabu na LAPF’Uzinduzi rasmi wa...
View ArticleSKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR
Digna Mbepera wa Skylight Band akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika kwenye viwanja vya michezo vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam-UDSM mwishoni mwa juma. Ni hisia tu hakuna...
View ArticleMISS UNIVERSE TANZANIA 2014 CALL FOR ENTRIES!!
MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 CALL FOR ENTRIES!! Do you have what it takes to follow in footstep of beautiful and sassy Betty Boniface? you could be the one from 20 finalists representing Tanzania at the...
View ArticleMGIMWA AANZA KUFANYIA KAZI MAAGIZO YA RAIS DR KIKWETE ,APANIA KUKAMILISHA...
Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kushoto akisalimiana na viongozi mbali mbali wa kata ya Nzihi mara baada ya kufika shule ya sekondari Kidamali kushiriki harambee ya kuchangia...
View Article