Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAWAPELEKA OKWI, KIONGERA NDANDA FC NANGWANDA SIJAONA MTWARA

Na Fadha Kidevu BlogWABABE wa Gormahia ya Kenya timu ya Simba Jumamosi ya wiki hii itapambana na wageni wa Ligi Kuu Ndanda FC,katika mchezo wa kirafiki utakao fanyika kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MORIS AREJEA MAZOEZINI TAYARI KWA KUIKABILI YANGA

Fadha Kidevu BlogBEKI tegemezi wa Azam FC,Aggrey Moris leo ameanza mazoezi na timu yake kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika Jumapili hii uwanja wa taifa..Meneja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI NYINGINE MABASI YA SIMBA MTOTO NA DAR EXPRESS YAGONGANA USO KWA...

Pichani ni mabasi mawili ya Simba Mtoto na Dar Express yakiwa wamegongana uso kwa uso maeneo ya Muheza Mkoani Tanga mchana huu. Haijafahamika ni abiria wangapi wamedhurika katika ajali hiyo. Chanzo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI WA CCM LUPINGU AFA KATIKA AJALI YA GARI LEO

Diwani wa viti maalum Lupingu Prisca Kayombo-Zaruta (kulia)  enzi za uhai wake akishirikiana na mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  kufukia  nguzo za umeme  kwenda kata ya Lupingu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW UN RESIDENT COORDINATOR AND UNDP REPRESENTATIVE PRESENTS CREDENTIALS TO...

The UN Resident Coordinator and UNDP Representative, Mr. Alvaro Rodriguez presents Copies of Credentials to Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AIFARIJI FAMILIA YA MZEE NDEJEMBI

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akisalimiana  na mdogo wa marehemu Betty Ndejembi, Aisha Ndejembi aliyeuawa wiki mbili zilizopita jijini Dar es Salaam. Pembeni ni Mzee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAJIPANGA KUTAFUTA SULUHU YA UHARIBIFU WA TABAKA LA OZINI TANZANIA.

Mkurugenzi  wa Mazingira Ofisi ya  Makamu wa Rais Dk. Julius Ningu  akizungumzia uharibifu wa Tabaka la Ozoni  utokanao na matumizi ya gesi  zisizo rafiki kwa Mazingira, Ofisini kwake leo alipokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI NYINGINE YATOKEA GAIRO MOROGORO NA KUHUSISHA BASI LA AIRBUS

 Watu wanne wamepoteza maisha na wengine 35 kujeruhiwa Mkoani Morogoro baada ya  basi la Kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es salaam kwenda Mara  kupinduka eneo katika eneo la Daraja la Mkange...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUIONA YANGA VS AZAM FC NGAO YA JAMII BUKU TANO TU

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria uzinduzi wa msimu mpya wa Ligi kati ya Azam na Yanga itakayochezwa Jumapili (Septemba 14 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUKUWEZESHA CHAMA CHA...

Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) Ahimkabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar Ikiwa Ni ahadi yake aliyoitoa ya Kukusaidia chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA MJI UNAOTARAJI KUJENGWA NA QATAR JANGWANI KWAAJILI YA FAINALI ZA KOMBE...

Mji wa Lusail uliopo umbali wa maili 9 kutoka mji mkuu wa Doha huko Qatar ndio umepangwa kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la Dunia mwaka 2022. Sherehe za ufunguzi wa mashindano hayo makubwa duniani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCD YATOA TAMKO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA UCHAGUZI MKUU WA 2015

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Mhe. John Cheyo akitoa tamko kuhusu mchakato wa Katiba na Uchaguzi Mkuu wa 2015 leo 9 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Idara ya Habari Bungeni mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA VIFAA NA ENEO MAALUMU KWA WAGONJWA WA EBOLA JIJINI DAR ES...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wauguzi waliovalia mavazi maalumu tayari kutoa huduma kwa  abiria  atayekutwa na ugonjwa wa ebola  mara atapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

View Article

MSANII FRANCIA CHENGULA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU...

Mbunge wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa  (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr  Wiliam Mgimwa kwa  viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA 24 WA WADAU NA WANACHAMA WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAANZA RASMI...

Naibu Waziri wa Fedha Nchini, Mh Mwigulu Nchemba ambae pia alikuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF akifungua Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WANAOMALIZA DARASA LA SABA TUWATUNZE KIMAADILI WAKISUBIRI MATOKEO

LEO watoto wetu wapatao 808,111 wanamaliza elimu yao ya msngi ya Darasa la Saba nchini kote.Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBATIA ATOA TAMKO LA VIONGOZI WA UKAWA JUU YA BUNGE MAALUM LA KATIBA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS TANZANIA 2014 KUINGIA KAMBINI SEPTEMBA 13 JUMAMOSI

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>