Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJA AIZAMISHA AZAM FC YANGA IKISHINDA 3-0 NGAO YA JAMII LEO

Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya jamii hii leo. Kikosi cha Azam FC.****** Mshamabuliaji Geilson Santos Santana “Jaja” raia wa Brazil leo ameiwezesha timu yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER UNITED YAFUFUKA KWA KUCHARAZA 4-0 QPR

Wachezaji wa Man U wakishangilia goli la pili la Wine Roone Leo ni siku njejma sana kwa mashabiki na wafuasi wa timu ya Manchester United na Yanga kwa nchini Tanzania na huenda leo wakapata usingizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI ACHAFUA HALI YA HEWA BUNGE LA MABADILIKO KATIBA

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Alli Keissy (kushoto) na Mjumbe kutoka Zanzibar Mohamed Raza wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma wakati wakielekea kuhudhuria kikao cha arobaini cha Bunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUANZA KUJINOA KESHO TAYARI KWA KUIVAA MTIBWA SUGER

Na Father Kidevu BlogKIKOSI cha Yanga kesho kinatarajia kuendelea na maandalizi ya Ligi Kuu kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, na Alhamisi itasafiri kuelekea Morogoro kwa ajili ya mchezo wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KICHAPO CHA AZAM JANA NI MATOKEO YA MAWASILIANO MABOVU: KAVUMBAGU

Fadha Kidevu BlogMSHAMBULIAJI wa Azam raia wa Burundi Didier Kavumbagu,amesema matokeo mabaya iliyoipata timu yake dhidi ya Yanga Jumapili ilitokana na mawasiliano mabovu ya beki wao wakati.Kavumbagu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COUTINHO KUCHEZA MECHI YA MTIBWA NA YANGA MOROGORO

Na Fadher Kidevu BlogKIUNGO wa Brazili Andrey Coutinho,leo ameanza mazoezi na kikosi cha Yanga kujiandaa na mechi ya kwanza ya Ligi itakayochezwa Jumamosi Morogoro dhidi ya wenyeji Mtibwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA VIJANA WAZALENDO WA VYUO VYA ELIMU YA JUU DAR ES SALAAM WATOA TAMKO...

 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wazalendo wa Vyuo vya Elimu ya Juu Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Omary, akisoma tamko hilo, Dar es Salaam leo.  Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wazalendo wa Vyuo vya Elimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini usiku wa jana, Jumatatu, Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI

Warembo 30 wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 jana walitembelea hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali vya utalii viliovyopo katika hifadhi hiyo ambapo...

View Article

KINANA AWAASA VIONGOZI WA CCM MAFIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 7 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN

Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)  Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika saba sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU

LEO ni siku ya kuzaliwa ya mpiganaji Mroki Mroki 'Father Kidevu' ambapo leo anaadhimisha miaka kadhaa hapa duniani. Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMSIFU MAMA SALMA KIKWETE KUANZISHA SHULE YA WAMA NAKAYAMA

 Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wananfunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUWAFUATA MTWIBWA SUGER MOROGORO HII LEO

Na Fadher Kidevu BlogWASHINDI  wa Ngao ya Jamii msimu wa 2014/2015 timu ya Yanga inaondoka leo asubuhi  kuelekea Morogoro tayari kwa mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRE REDD'S MISS TANZANIA TOP MODEL KUFANYIKA ARUSHA SEPTEMBA 27,2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIKITI WA WAHINDU DAR WAWAKA MOTO

 Kikosi cha zima moto kikifanya juhudi za kuzima moto huo. MSIKITI wa madhehebu  ya Wahindu uliopo maeneo ya Mtaa wa Kibasila karibu na shule ya Olimpia jijini Dar es Salaam, umeteketea kwa moto leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMAJARO (KINAPA).

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 wametembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PPF YAWANOA WAAJIRI KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE MPYA IKIWEMO PPF TAARIFA APP.

Prof. Betria Mapunda ambae amemwakilisha Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar Es salaam akifungua semina iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa Waajiri kwa lengo la Kutoa elimu juu ya huduma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PHIRI NIPE NAFASI UONE MAMBO YANGU: TAMBWE

Na Fadher Kidevu BlogMSHAMBULIAJI wa Simba raia wa Burundi Amisi Tambwe,amemtaka kocha wa wake Patrick Phiri,kumpa mechi mbili tu ili aweze kurudisha heshima yake aliyoiweka msimu uliopita kwa kufunga...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>