Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Ngowi Akutana na Rais Kikwete IKULU LEO

 Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete Ikulu leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali Rais Jakaya Kikwete akipitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA KUVAANA NA URA IJUMAA HII TAIFA

Zahoro Pazi wa Simba, akikimbia na mpira huku akifuatwa na Dereck Waluliya wa timu ya URA ya Uganda wakati wa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa kati ya timu hizo, uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es...

View Article


WANAJESHI 3 NA RAIA 1 WAFA KATIKA AJALI YA KIFARU MTWARA

Ajali nyingine yatokea mtwara na kuua wanajeshi watatu na raia mmoja baada ya kifaru kujaribu kukwep Lori la mabomba ya gesi na kuvaa nyumba.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIJAUTUMIA UJANA WANGU KAMA SIKLAHA YA KUGOMBEA URAIS 2015. KINGWANGALA

Mbunge wa Nzega ambaye pia ni Mchezaji wa timu ya wabunge wa Simba, Dk. Hamis Kingwangala (kushoto) akiwa uwanjani akilisakata kabumbu. ******* Wakati nafanya tafakuri ya kama nigombee Urais mwakani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Dar

Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kulia), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani ya shilingi milioni 4.5/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI TUZO ZA HABARI ZA TANAPA 2013 WAENDELEA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA...

Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA 2013. Kutoka kulia ni Vedasto Msungu (ITV), Gerald Kitabu (The Guardian), David Rwenyagira (Radio Five) na Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC NEWALA ATEMBELEA DARASA LA SABA MNYAMBE NA MNAYOPE

 Mkuu wa Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara, Christopher Magala akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule ya Msingi Mnyambe na Mnayope alipozitembelea jana kukagua hali ya ufanyaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OSCAR PISTORIUS ATIWA HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

JAJI katika kesi ya Oscar Pistorius amemtia hatiani kwa kuua bila kukusudia mkiambiaji huyo katika kesi uiliyokuwa ikimkabili kwa mauaji ya binadamu kwa uzembe. Jaji Thokozile Masipa  ametoa hukumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIKITI WA MTAMBANI WASHIKA MOTO TENA

Ikiwa bni mwezi mmoja kamili umepita tangu moto mkali uliozuka majira ya saa 12:30 jioni wakati wa swala ya Magharibi na kuteketeza msikiti wa Mtambani uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam leo tena...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE VAENI NGUO SASA, KAMA KUVUA MUMESHAVUA IMETOSHA

MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA 2014 WAWASILI KAMBINI, KANDA YA ZIWA WAENDESHA GARI YAO...

Na Father Kidevu BlogWanyange 30 wanao wanbia taji la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia kambini tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazo fanyikia mapema mwezi Oktoba jiji Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA MSIBA WA MZEE IDRISA KILANGI

Bwana Mfaume Kilangi wa Tuangoma Marela-Kigamboni Jijini Dar es Salaam anasikitika kutanga kifo cha baba yake mnzazi MZEE IDRISA KILANGI  (pichani) kilichotokea alfajiri ya kuamkia leo jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA MBAGALA KUU

Nyumba inapangishwa Mbagala Kuu,ina maji, umeme, vyumba 3, sebule ipo kila kitu ndani.na sehemu ya kuegesha gari. Mawasiliano piga simu. 0715 896551

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA AWAAGA MAHUJAJI LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwahutubia baadhi ya Mahujjaji wanaotarajiwa  kwenda kutekeleza Ibara ya Hijja huko Makka, katika viwanja vya Karimjee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA KATIBA TANZANIA YAELEZA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA BAADA YA...

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata) Deus Kibamba (wa pili kulia) akizungumza katika mkutano huo. Kutoka kulia ni Mratibu wa Jukata, Diana Kidara, Mratibu wa Mtandao wa Mapambano ya Ukimwi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA YAMKANDAMIZA 4-2 SWANSEA

Diego Costa akishangilia moja ya magoli yake..dhidi ya  Swansea City  John Terry akiwa amepiga magoti kusikitika goli alilojifunga mwenyewe. Loic Remy akifunga goli la nne na lamwisho kwa Chelsea....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA ZINAPANGISHWA

 Sehemu ya mbele. ENEO: Nyumba ipo  PUGU-Umbali wa  mita 100  toka  Barabara Kuu ya lami. Nyumba  3 za familia zipo ndani  ya  eneo  moja  kila  moja  inajitegemea. UKUBWA: Kila  moja  ina vyumba  3...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MANCHESTER CITY

Leo Arsenal wamelazimika kutoka sare ya mabao 2-2 Manchester City huku nyota wake iliyomsajili kutoka Manchester United  Danny Welbeck akishindwa kuonesha makucha yake licha ya kutabiriwa makubwa ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AUNGURUMA MKURANGA AWATAKA VIONGOZI WALIOJILIMBIKIZIA VYEO WAJIPIME

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutumia katika mkutano wa hadhara mjini Kimanzichana, wilayani Mkuranga, Pwani , alipoanza zira ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi inayotekelezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya 100 wahudhuria Jukwaa la Katibu Mkuu EAC

Na Mtuwa Salira,EANAWajumbe zaidi ya 100 kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanahudhuria mkutano wa siku mbili wa Jukwaa la Katibu Mkuu wa EAC kuhusu sekta binafasi na vyama vya...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>