Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUYU TWITE AFUARAHIA YANGA KUMALIZANA NA FC LUPOPO

Na Fadher Kidevu BlogBEKI Mbuyu Twite,ameushukuru uongozi wa Yanga kwa kufikia makubaliano na timu yake ya zamani ya FC Lupopo kuhusu madai ya fedha za malipo ya usajili wake.Baada ya malumbano ya muda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YA JAJA YALALA 2-0 KWA MTIBWA SUGER

Na Fadher Kidevu BlogMSHAMBULIAJI  raia wa Brazili Geilson Santana Santos JAJA jana ameshindwa kuingarisha tena timu yake ya Yanga baada ya jana kuambulia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Wanatamtam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro. Mwakilishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGENI NDANDA FC NA TIMU ZA AZAM FC, PRISONS, MGAMBO JKT ZAANZA VYEMA LIGU...

Kavumbagu akishangilia mechi ya jana na Polisi MoroNa Fadher Kidevu BlogMABINGWA wa tetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania bara Azam FC wameanza vyema mpya wa Ligi ya Vodacom baada ya kuifunga Polisi Moro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipokea zawadi ya ngao na kikombe toka kwa  mwakilishi wa  CCM New York na Vitongoji vyake  Bw. Isaack Kibodya  kama pongezi kwa uongozi uliotukuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC yatoa changamoto kwa waandishi habari

Baadhi ya Wapigapicha za habari kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dr Julius Rotich...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM KUANZA KUWATIMUA VIONGOZI WAVIVU,WASIO NA KAZI NA WALA RUSHWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo alisema kua CCM itaanza kuwafukuza viongozi wabovu na wala rushwa. Kinana yupo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO MISS TANZANIA WASHUHUDIA UPIMAJI WAGONJWA WA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA...

 Washiriki wa Shindano la Redd's Miss Tanzania 2014, wakimsikiliza Afisa Mfawidhi, Nisalile Mwangoka aliyekuwa akiwapa maelezo juu ya upimaji wa wageni wanao ingia nchini kupitia viwanja vya ndege...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAMA AWAPIGA TAFU YATIMA DAR

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama (lushoto), akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula Katibu Mkuu wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Maunga Center cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA 2014 HAWA HAPA

 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNDA MAN ASINDIKIZA SHOW YA VIPAJI WAREMBO MISS TANZANIA BABATI MKOANI MANYARA

 Warembo 15 kati ya 30 wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakisindikizwa na mkali wa Bongo Fleva kutoka Jijini Dar es Salaam, Tunda Man, wametoa burudani kali wakati wa shindano dogo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMERICAN COUPLE GET MARRIED ON MOUNT KILIMANJARO

The groom Richard Miller is seen putting a wedding ring to the bride Kara Lee in Mount Kilimanjaro. Kara Lee is also doing the same on wedding ring to her new husband in Mount Kilimanjaro. Ms. Kara Lee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEWATAKA WANANCHI KUJIHADHARI NA VISHOKA KATIKA UPIMAJI ARDHI.

Mkurugenzi Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mikazi Bw. Justo Lyamuya akizungumza na waandishi wa habari kuhusu taratibu za upimaji wa viwanja nchini na kutoa tahadhari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KINANA JIMBO LA CHALINZE MKOA WA PWANI

 Polisi na Kijana Hamis Gabriel (kushoto)  wakimsaidia Mama mwenye ulemavu Halima Salehe, aliyefika kwa nia ya kumuona Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kwenye uzinduzi wa soko jipya la kisasa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA UBORESHAJI WA KADI ZA WANACHAMA WA NSSF

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGERA KUIKOSA MECHI YA SIMBA NA YANGA KUKAA NJE YA DIMBA KWA WIKI SITA

Na Fadher Kidevu BlogKIUNGO mshambuliaji  wa Simba Raphael Kiongera,huenda akalikosa pambano la watani wa jadi Simba na Yanga kutokana na maumivu makali ya goti.Kiongera  alipata maumivu hayo Jumapili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI

Mkuu wa Wilaya ya Monduli,mkoani Arusha,Jowika Kasunga akifungua hafla ya lishe bora iliyoandaliwa na kituo cha redio 5 cha jijini Arusha kwa kushirikiana na wadau wa KABI, AVRDC,Hort Tengeru,Inades...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUANZA KUMTUMIA EDWARD CHARLS BAADA YA KUUMIA KWA OSCAR JOSHUA

Na Fadhaer Kidevu BlogBEKI mpya aliyesajiliwa na Yanga akitokea JKT Ruvu Edward Charls,huenda Jumapili akaanza kuichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza baada ya Oscar Joshua kusumbuliwa na nyama za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR WAAZDHIMISHA MIAKA 50 YA EIMU BILA MALIPO LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Walimu na Wanafunzi katika Sherehe za Miaka 50 ya Elimu bila malipo zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>