Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATUHUMU POLISI KUMVUNJA MIKONO

MKAZI wa Loksale wilaya ya Monduli, Samwel Petro Shani(47) amelalamikia hatua ya kuvunjwa mikono yake miwili kwa kipigo cha askari polisi katika kituo cha Leskale kwa madai ya kushindwa kulipa deni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE ZA MSINGI MKOANI SINGIDA KUPOKEA VITABU 200

Miss Singida na Miss Kanda ya Kati 2014/15 ,Doris Mollel akisikiliza jambo kutoka kwa Afisa Mipango wa Children’s Book Project for Tanzania,Ramadhani Ali wakati akipokea vitabu kutoka Children’s Book...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA MBEYA MJINI NA MBEYA VIJIJINI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la zahanati ya Kimondo , Mbeya Vijijini akiwa katika ziara ya mkoa  wa Mbeya, Februari 25, 2015. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Dr. Norman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamthilia ya "A Boys Mission" yahitaji Milioni 800 ili ikamilike

 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Forward Formidable Enterprises (FFE) inayoandaa tamthilia mpya na ya kisasa ya “A boys mission” Johnson Lujwangana akifafanua jambo kuhusiana na tamthilia hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya sh. 900,000 kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya. Chid Benz alikamatwa mwaka jana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA YA TEMEKE YA MWAGA KINYESI ALICHO HIFADHI MWALIMU WA KIBASILA...

Ama kweli ukistaajabu ya musa hakika utayaona ya firauni...na kuishi kwingi ni kuona mengi...hali kadhalika wahenga wanasema Tembea uyaone...Misemo hiyo mitatu inaweza kujidhihirisha kwa namna tofauti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.

Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bw. Morrice Oyuke (Kulia)akitoa taarifa ya Pato la Taifa kwa kipindi cha robo tatu ya mwaka 2014 leo jiji Dar es salaam. Pato hilo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAZI WA DODOMA JELA MAISHA KWA KUNAJISNI MTOTO

Tarehe 24/02/2015 katika Mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la YUSUPH CHATAMBALA, umri miaka 45, kabila Mchaga, Mkulima na mkazi wa Kijiji cha MAKUTUPA Kata...

View Article


SOMA JARIDA LA WIKI LA NISHATI NA MADINI, TOLEO LA 56

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIC WAKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI MASHINDANO YA LUGALO CHALLENGE CUP 2015

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa NIC Bi. Mwanaidi Shemweta akikabidhi zawadi kwa Japhet Masai Kapteni wa mchezo wa Gofu katika viwanja vya gofu vya TPDF Lugalo tayari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WA MKOA WA NJOMBE NI MFANO WA KUIGWA KATIKA ZOEZI LA BVR

Kazi ya kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometrick Voters Registration (BVR), ambao huhusisha uchukuaji wa alama za vidole na picha, jana iliingia siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE NA MAKAMU WAKE WAAGA MWILI WA MAMA WA DK HOSEA JIJINI DAR LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho kwa Marehemu Esther Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea huko Msaki jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS KUKUTANA JIJINI DAR KATIKA PATI YA KISTORIA

 Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network  na mmiliki wa Blog ya The Habari.com Joachim Mushi (katikati) akizungumza wakati wa mkutano na waandishi. Kutoka kushoto ni  Mkala Fundikira,Shafia Mpanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE VITA YA JWTZ YAPATA AJALI NA KUWAKA MOTO, RUBANI AJIOKOA KWA KURUKA

 Moto mkubwa ukiwaka baada ya Ndege Vita ya Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) kuanguka katika uwanja wa jeshi Mwanza baada ya kupata hitilafu. Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda  alipoona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AFANYA UKAGUZI WA KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwaita wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika eneo la Ferry kwa ajili ya safari ya kwenda Bagamoyo kwa kutumia kivuko cha MV Dar es Salaam.Kivuko cha MV Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA AFANYA ZIARA JIMBONI

Mbunge wa Jimbo la Mondukli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyae Lowassa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mbashi na Seleli wilayani Monduli mkoani Arusha hii leo. Lowassa yupo jimboni kuzungumza...

View Article

CAPT JOHN DAMIANI KOMBA AMEDFARIKI DUNIA

Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM ambaye oia ni kiongozi wa Kundi la TOT,Capt.John Damian Komba amefatiki dunia hii leo katika...

View Article


KIFO CHA KAPTENI JOHN KOMBA CHAISTUA CCM

View Article

MAAMUZI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAFLA YA TANZANIA BLOGGERS NETWORK YAACHA GUMZO JIJINI DAR

  Sehemu ya Wamiliki wa Blogs mbali mbali hapa nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mgeni Rasmi katika hafla maalum ya mwaka kwa Tanzania Bloggers Network,ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza la Habari...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>