MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA HII LEO
Basi la Ngorika lenye namba za Usajili T770 BKW lililokuwa kitoka jijini Dar es Salaam kwenda Arusha na lile la Kampuni ya RATCO T 274 DCP Tanga kwenda Dar es Salaam yamegongana uso kwa huso na...
View ArticleUTT-PID YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu waziri wa TAMISEMI,Khasim Majaliwa,akipata maelezo na kusaini kitabu cha wageni kutoka kwa Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Tasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu chini ya Wizara ya Fedha, Bw,...
View ArticleKEVERA AJITOA KWA VIJANA KATIKA SEKTA YA MICHEZO
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera akikabidhi jezi kwa Nahodha wa Timu ya Twiga,Abuu Nido baada timu hiyo...
View ArticleMAZISHI YA MPIGAPICHA BERNARD RWEBANGIRA
Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Bernard Rwebangira likiwa tayari kwa safari ya kwenda kwenye nyumba yake ya milele kwenye Makaburi ya Kawe,Jijini Dar es salaam leo.Marehemu Bernard Rwebangira aliwahi...
View ArticleMGOMO WA MADEVA JIJINI DAR ES SALAAM HII LEO
Umati wa watu uliofurika kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo (UBT) ukiwa umekusanyika hii leo kufuatia mgomo wa madereva wa mabasi na magari mengine ya abiria jijini Dar es Salaam leo....
View ArticleHAPPY BIRTHDAY BLOGGER CATHBERT ANGELO KAJUNA
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunifikisha leo Aprili 10 siku yangu ya kuzaliwa... Hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Pia napenda kuishukukuru familia yangu, ndugu jamaa na marafiki kwa kuwa pamoja...
View ArticleLOWASSA AIFARIJI FAMILIA YA DK MAKUNDI WA MONDULI
Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa na mkewe mama Regina Lowassa(pembeni)akimpa pole mjane wa marehemu Dr John Makundi kwenye kanisa la KKKT Monduli katika Misa ya kumuaga.Marehemu Dr Makundi ambaye...
View Articletimu ya barcelona wawasili zenj
Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.Kikosi cha...
View ArticleVIONGOZI WA JUU WA ACT WAPATA MAPOKEZI MAKUBWA SONGEA
Vingozi wa ACT-Wazalendo wakiangalia picha za makumbusho ya vita vya majimaji. Pikipiki ambazo ziliongoza mapokezi hayo zikiwa katika msafara. Viongozi wa Juu wa chama cha ACT wakiimba na kucheza...
View ArticleASASI YA VIJANA WA TANZANIA NA ASIA (TAYL) YAZINDULIWA JIJINI DAR
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, Francis Nanai akizungumza wakati akizindua asasi ya kuendeleza vijana katika masuala ya uongozi ijulikanayo kwa jina la Tanzania-...
View ArticleWANNE WAFA KATIKA AJALI YA BASI NA GARI DOGO DODOMA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma. SACP David MisimeWATU wanne wamepoteza maisha jana Aprili 10 mwaka huu badaa ya basi walilokuwa wakisafiria mali ya Nyahunge lenye namba za usajili 506 CSX Youtong...
View ArticlePOLISI IRINGA WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA WANANCHI WALIOFUNGA...
Askari wa FFU wakiwa katika msako wa kuwasaka waliohusika na vurugu hizo eneo la Ipogolo mjini IringaPolisi wakie;ekea emeo la tukio Baadhi ya watuhumiwa wa vurugu hizo wakipakiwa katika gari...
View ArticleUN. TAASISI IMARA KATIKA UTATUZI WA MIGOGORO
Kutoka kushoto ni Reginald Munisi, Mwenyekiti, United Nations Association of Tazania, Mr. Alvaro Rodriguez, Mratibu Mkazi, Umoja wa Mataifa Tanzania, Balozi Dr. Agustine Mahiga, Balozi Mstaafu wa...
View ArticleTANGAZO LA MSIBA WA MAMA FLORA KAAYA
Familia ya Marehemu Freddrick Nicholaus Kaaya wa Mikocheni Dar es Salaam, wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Flora Kaaya kilichotokea 11/04/2015 katika Hospitali ya TMJ.Mwili wa Marehemu...
View ArticleIMETOSHA yaendeleza mkakati wake kimataifa kusafisha jina la nchi
Mkakati wa kutokomeza unyanyapaa na mauaji ya watu wenye ualbino nchini, uitwao IMETOSHA, jana ulianza rasmi kujitokeza kimataifa baada ya kushiriki katika pambano la kimataifa la kirafiki kati ya...
View ArticleNAIBU WAZIRI (MADINI) KITWANGA ATEMBELEA MGODI WA DHAHABU BULYANHULU
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (aliyesimama) akitoa hotuba yake mwanzoni mwa ziara yake ya kutembelea mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu ulioko wilaya ya Msalala, mkoani Shinyanga,...
View ArticleMTANDAO WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU WAHAMASISHA AMANI KABLA YA UCHAGUZI MKUU
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Husna Mwilima aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa Arusha, Daudi Ntibenda,akifungua mkutano wa kujadili masuala ya ulinzi na usalama kuelekea uchaguzi mkuu, ulioandaliwa na mtandao wa...
View ArticleAJALI YA BASI NA FUSO MOROGORO YAUA 18 NA KUJERUHI WENGINE 11 LEO
Na Father Kidevu Blog, Morogoro.WATU 18 wamepoteza maisha papo hapo kwa kuteketea na moto huku wengine 11 wakijeruhiwa vibaya kwa moto kufuatia magari mawili kugongana ambayo ni Basi Scania mali ya...
View Article