Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI KUIMARISHA ULINZI MJI WA DODOMA KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI    JESHI LA POLISI TANZANIATAARIFA YA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 06/07/2015Nina imani kila mmoja anayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA AWAFUTURISHA WAFANYAKAZI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akifuturu pamoja na wageni waalikwa kwenye ukumbi wa Makao Makuu ya NHC (NHC PLACE) jijini Dar es slaan Julai 3, 2015 ambapo mgeni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDA LA ASAS DAIRIES LTD LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABA SABA DAR ES SALAAM

Rais  Dr  Kikwete  akitazama  baadhi ya  bidhaa zenye ubora  za kampuni ya Asas Daireis Ltd.Rais  Dr  Kikwete  akipata  maelezo ya  bidhaa za Asas Daireis Ltd kampuni  hii  ni  ndio kampuni bora ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Fursa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI TUJITOE KWA MAMBO YANAYOTUHUSU TUACHE KUTUMIKA

MWANDISHI wa habari ni mtu muhimu sana katika jamii, na wakati mwingine amekuwa akitambulika kama Mhimili wa nne usio rasmi wa serilali, ukiacha Bunge, Mahakama na Serikali.Waandishi wapo mstari wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. TWAHA MWENYEKITI MPYA COASTAL UNION

TIMU ya Coast Union yenye maskani yake mjini Tanga, leo imefanya uchaguzi wake mkuu na kumchagua Dk Ahmed Ally Twaha kuiongoza Clabu hiyo.Dk Twaha alipata kura 192 na kumshinda mpinzani wake Steven...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA YATOA HUDUMA KWA UMAKINI MAONESHO YA SABASABA

 Wateja wakipatiwa Huduma katika Banda la Benki ya Posta. BAADHI ya Wananchi wakikodolea macho huduma zinazotolewa na Benki ya Posta. WAKIJISAJILI kuwa na akaunti katika Benki hiyo. WAKIJISAJILI kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI VIDEO GANI KALI KATI YA NANA Vs CHEKETUA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUNZO YA TAKWIMU KWA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ARUSHA

Mkurugenzi wa Taasisi ya Takwimu nchini Dr Albina Chuwa akiongea na vyombo vya habari jijini Arusha katika mafunzo ya siku tano  kuhusu suala la takwimu zinazohusu hali ya mazingira, ikiwemo uharibifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YA GIDANI INTERNATIONAL YAJIZATITI...

Mkurugenzi Mkuu wa michezo ya Bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Tarimba Abbasi akiteta jambo na Mwenyekiti wa michezo ya kubahatisha ya Gidan International Profesa , Bongani Aug Khumalo wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ KUPAMBA MKUTANO MKUBWA WA JIMBO LA SINGIDA MJINI VIWANJA VYA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOSHUA NASSARI APATA AJALI YA CHOPA JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Jimbo la Arumeri Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali ya Helkopta aliyokuwa akiitumia kufanya ziara jimboni kwake hii leo.Habari kutoka Arum,eru zinasema kuwa Helkopta hiyo ilipoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA...

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akisikiliza na kufurahia maelezo kutoka kwa Bi Martha Mashiku, Afisa Masoko na Mawasiliano Mwandamizi UTT AMIS(katikati), Kushoto ni bi Sophia Mgaya afisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DEGE ECO - VILLAGE YAFANYA VYEMA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR

Wafanyakazi wa Dege Eco – Village akimpa maelekezo mteja aliyefika bandani kwao kuchangamkia fursa ya kununua nyumba.Wafanyakazi wa Dege Eco – Village amkimpa maelekezo mteja aliyefika bandani kwao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI MARIAM MKUMBARU AFARIKI DUNIA

Mwandishi wa habari, Mariam Mkubaru amefariki dunia.Mkubaru alifikwa na umauti katika ajali ya gari inayodaiwa kutokea jana Ruangwa, mkoani Lindi akiwa katika shughuli zake.Simu yake ilipojaribu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AICC YASHIRIKI MAONESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM...

AfisaMasokonaUtafiti, Andes Seiyaakiwaelezeawadauwaliotembeleabanda la AICC hudumazinazotolewana AICC katika maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu sabasaba.. MwenyekitiwaBodiya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA TTCL YASAIDIA MIFUKO YA SARUJI KITUO CHA YATIMA

Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa pili kulia) akiwakabidhi watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAWEKA MSISITIZO AIRTEL RISING STARS

Mkurugenzi wa ufundi wa TFF  Salim Madadi akiongea wakati wa wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars kwa viongozi wa mikoa iliyofanyika leo (Julai 7, 2015) jijini Dar es Salaam. Katikati Meneja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE BODI YA MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF) WAPATIWA MAFUNZO NA ILO

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi nchini (WCF) Emmanuel Humba (wapili kulia) akiwa na mkufunzi kutoka ILO Canada Bw. Gilles Binet pamoja na mjumbe wa bodi hiyo Bw. Athumani Hamisi...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>