Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWAHILI RADIO KUANZA KURUSHA MATANGAZO HEWANI HIVI KARIBUNI KUTOKEA JIJINI...

Mkurugkenzi wa Swahili Radio Bwana Dickson Mkama (DMK) akiwa hewani wakati  wa majaribioMkurugenzi wa Swahili Radio Bwana Alex Kassuwi (King) akiwa hewani akifanya majaribioBwana DMK akiendelea na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. FENELLA AKUTANA NA WADAU WA FILAMU NA KUZUNGUMZA NAO.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Waziri Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na Viongozi wa Steps (hawako pichani) wakati walipomtembelea ofisini kwake kwa mazungumzo juu ya maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA BARRICK GOLD

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Rais na mtendaji mkuu  wa African Barrick Gold Bwana Greg Hawkins na kufanya naye mazungumzo.Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WAPEWA SOMO JUU YA MASWALA YA MAZINGIRA NA USAFIRI JIJINI DAR LEO

 Mratibu wa Kongamano la siku moja kwa Wadau wa Habari na Mawasiliano hapa nchini,kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi,Prof. Msafiri Jackson akiwasilisha mada yake iliyohusu Uchafuzi wa Hewa pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO KUWAKA REDD'S MISS ILALA LEO

Mratibu wa Shindano la Redds Miss Tanzania Kanda ya Ilala 2013, Juma Mabakila (katikati waliokaa), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitangaza zawadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGASA KUCHEZEA YANGA AKIMALIZA KIFUNGO CHA MECHI SITA

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitia usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom na kumuidhinisha Mrisho Ngasa kuchezea timu ya Yanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA BEAUTY PAGEANT USA KUFANYIKA DECEMBER WASHINGTON DC

  ANY INFOS FOR NOW CALL 202-830-8904

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI YAWAPIGA MSASA WAHARIRI JUU YA KUTHAMINI BIDHAA ZA NDANI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa (kushoto), akieleza mafanikio ya TDL ikiwa ni pamoja jinsi inavyolipa kodi serikalini ambapo kwa mwezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNGA WAKAMATWA HONG KONG NDANI YA CHUMA CHA MASHINE

Wakati vita ya kupambana na wafanya biashara wa dawa za kulevya nchini Tanzania ikisha kasi kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harison Mwakyembe kuweka bayana majina ya Wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAOMBOLEZA KIFO CHA KATIBU MKUU IKULU...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kuomboleza na kufariji wafiwa  kwa msiba wa Katibu Mkuu wa Ikulu mstaafu Marehemu, Abel Mwaisumo, aliyefariki majuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE APOKELEWA NA RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI KWA FURAHA LEO

Rais Joyce Banda wa Malawi akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete amuda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Lilongwe tayari kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za SADC leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABINGWA BONANZA LA SERENGETI FIESTA WAPATIKANA KIGOMA

Nahodha wa timu ya mashabiki wa Arsenal mkoani Kigoma Samweli Balina akipokea kombe la ushindi na kitita cha fedha taslimu laki tatu kutoka kwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Clouds Media Group Bw. Ruge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DORICE MOLLEL NDIYE REDD’S MISS ILALA 2013

Redds Miss Ilala  Dorice Mollel (katikati) akipozi na washindi wenzake. Kutoka kulia ni mshindi wa pili Alice Isaac na mshindi wa tatu Clara Bayo.  *************Mwandishi WetuMiss Tabata  Dorice Mollel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDHAMINI WA CASTLE LAGER KWA FC BARCELONA KUINUFAISHA TANZANIA

Meneja wa Castle Lager, Kabula Nshimo akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari kutangaza udhamini wa Castle Lager kwa klabu ya FC Barcelona  ya nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLOUDS MEDIA WATOA DARASA KWA WANA KIGOMA JUU YA FURSA ZILIZOPO MKOANI HUMO

Mkuu mkoa wa Kigoma,Kanali Mstaafu,Mh Issa Machibya akizungumza machache wakati wa ufunguzi wa Semina ya Fursa kwa vijana zinazopatikana ndani ya mkoa wa Kigoma na kwingineko,mapema leo asubuhi.Semina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAILAMBA AZAM 1-0 NGAO YA JAMII HII LEO

BAO pekee la kiungo Salum Abdul Telela jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC na kutwaa Ngao ya Jamii.Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Oden...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA KIGOMA WALIPOKEA KWA KISHINDO TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013

Pichani ni msanii wa bongofleva aJulikanae kwa jina la Shilole na madansa wake wakiwachengua vilivyo wakazi wa Kigoma,waliojitokeza kwa wingi usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta,ndani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOOLISH AGE YA LULU KUZINDULIWA MWISHO WA MWEZI HUU NDANI YA MLIMANI CITY

 Msaani mwenye kipaji cha Hali ya juu nchini na Mwenye umri mdogo Elizabeth Michael "LULU"anatarajia kuzindua filamu yake ya Kwanza tokea alipotoka Gerezani, Filamu hii iitwayo FOOLISH AGE ikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AWATAKA WATANZANIA KUJADILI RASIMU YA KATIBA NA KUTOA MAONI VYEMA.

  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakazi wa wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza mwishoni mwa juma kwenye mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picnic ya wana DMV yafana

Kushoto Hellena Nyerere akiwa mama Kimolo mwenyekiti wa UWT-DMV , mdau na Julia Nyerere katika Picnic ya wana DMV iliyofanyika huko Wheaton Md mwishoni mwa juma. Kushoto mwenyekiti wa CCM DMV Bw.George...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>