Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI FORTUNATA RINGO AFARIKI

Fortunata akiwa katika mafunzo ya MCT ya maadili ManyaraBlogu hii saa moja iliyopita imepokea habari za kusikitishwa kwamba mwandishi wa habari wa Habarileo Manyara Fortuinata Ringo amefariki dunia.kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA NEC NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA

 Katibu Mkuu wa Chanma cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dr. Wibroad Slaa  na Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba wakifurahia jambo wakati wa mkutano wa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF) WAOMBOLEZA MSIBA WA ALIYEKUWA...

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMFUKO WA PENSHENI WA PSPFBodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatoa salamu za rambirambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABIRIA WA TRENI WAENDELEA KUTESEKA DODOMA, UONGOZI WA TRL MKOANI DODOMA...

 Abiria waliokwama na treni Dodoma wakusubili mabasi kwa ajili ya usafiri wa kuelekea mikoa ya Morogolo na Dar es saalam ambapo shirika la Reli limewakodia mabasi kutokana na kushindwa kuendelea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA SHULE YA SEKONDARI YA KIEMBE SAMAKI...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua shule ya Sekondari ya Kiembe Samaki, wakati wa hafla fupi iliyofanyika shuleni hapo mjini Zanzibar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA BOSI WA ZAMANI WA TBS CHARLES EKEREGE ILIVYOENDELEALEO MAHAKAMANI KISUTU

  Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekerege  na binti yake wakiondoka katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana kusikiliza mwenendo wa kesi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA HABARI, VIJANA NA MICHEZO MKOA WA PWANI

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Bi.Mwanamvua Mrindoko akimweleza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(mwenyeshati Jeusi) Mpango...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA DODOMA YAWA KERO KWA WAFANYABIASHARA STENDI YA JAMATINI

 Muuza Chipsi akiendelea kuandalia wateja wake huku maji machafu yakiwa yametuama kibandani hapo hali inayotishia Afya za wateja wao, huku kilio cha wafanyabiashara hao kikielekezwa ofisi ya mhandisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANDISHI WA HABARI LEO, FORTUNATA RINGO MKOANI...

Jenela la aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Habari Leo, Mkoani Manyara, Fortunata Ringo Tayari kwa safari yake ya mwili, katika Maziko yaliyofanyika Leo, Kijijini kwao, katika Kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa CCM Washington amtembelea Lowassa

Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli ambaye pia ni mwenyekiti kamati ya bunge ya mambo ya nje akifurahia jambo kutoka kwa mwenyekiti wa ccm tawi la Washington DC  George Sebo aliyekwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yatima Dar walilia madarasa yakujisomea

 Mkuu wa idara ya Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Julius Kastabu (Kushoto) akikabidhi msaada wa chakula kwa Mkurugenzi wa kituo cha kulea watoto yatima cha Sifa Group Children Foundation Center...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY ZAINAB MHAMILA

   LEO NI SIKU YA KUZALIWA KWA MTOTO ZAINABU MHAMILA 'IKOTA' AMBAPO ANATIMIZA MIAKA  11 TANGIA AZALIWE PICHANI AKIWA NA BABA YAKE MZAZI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AMBAYE NI KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI IST WATEMBELEA KITUO CHA YATIMA GUARDIAN ANGEL

Kituo cha watoto Guardian Angels wiki hii kilipata ugeni umkubwa kutoka kwa wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) ya jijini Dar es Salaam ambao waliwatembelea na kutoa salamu za Mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI UKONGA WAGOMEA FIDIA KIDUCHU BOMBA LA GESI

Mwenyekiti wa Kamati ya kufatilia malalamiko ya wananchi wa mji mpya relini Bw. Omari Msusa kushoto akihojiwa na vyombo vya habari kuhusu fidia wanayotakiwa kulipwa huku Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI KONGAMANO LA WASANII IJUMAA

Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Twalib 'Teacher' (kushoto) MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa kongamano la umoja na mshikamano linalofanyika Januari 17 (Ijumaa) kwenye viwanja vya hoteli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA APOKEA KITABU CHA SAFARI YA MIAKA 50 YA ZANZIBAR

Javed Jafferji , Tanzania top photographer and film maker had a pleasure to present a copy of his new book, Zanzibar Photographic Journey - 50 years of the Revolution to former Prime Minister of United...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AKUTANA NA VIONGOZI WA BODABODA

Waziri mkuu mstaafu na mbunge  wa Monduli Mh Edward Lowassa(katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa viongozi wa shirikisho la waendesha bodaboda jijini Dar es Salaam ofisini kwake.Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAWAZIRI WALIOLAZWA MUHIMBILI, CLEOPA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, aliyelazwa katika jengo la Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI ANAPOVUNJA SHERIA YA USALAMA BARABARANI

Polisi ndiuo wasimamizi wakuu wa sheria za nchi, na ni wao ambao pindi mwananchi anapokosea jambo na kuonekana amevunja sheria husimamia zoezi la kukamatwa na kufikishwa mbele ya Mahakama ili sheria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAPA AMKABIDDHI RAIS KIKWETE VITABU VYA HOTUBA ZAKE

   Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo amemkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nakala ya vitabu vya hotuba zake alizozitoa kwa nyakati tofauti wakati wa uongozi wake wa miaka...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>