Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUDA WAONGEZWA KWA WAANDISHI WA HABARI KUWASILISHA KAZI ZOA TUZO ZA AJAT 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa niaba ya Kamati ya Maandalizi ya Tuzo za Umahiri za Uandishi wa Habari Tanzania(EJAT) 2013, imeongeza muda wa kuwasilisha kazi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBS YAENDESHA MSAKO WA BIDHAA ZISIZO NA UBORA

 Askari Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam wakibeba maborota ya mitumba ya nguo za ndani kama sidiria na chupi leo katika soko la Karume katika operesheni ya kukataza kuuza nguo za ndani za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya Mazishi ya Marehemu Mzee George Bakari Liundi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA GEORGE LIUNDI KARIMJEE DAR

 Rais Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, George Liundi wakati wa shughuli za kuagwa mwili huo zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Special fare offer from Emirates

Emirates, a global connector of people and places, is offering Tanzanian travellers the opportunity to visit some of the world’s most exciting destinations with special Economy Class fares for a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WATESWA NA SAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO

*WAIOMBA SERIKALI KUWADHIBITI WACHAKACHUAJI Baadhi ya dawa zinazodaiwa ni fekiNA MWANDISHI WETU TANGU kuanzishwa kwa kauli mbiu ya kilimo kwanza, kumekuwa na juhudi kubwa zinazofanywa na serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAHITAJI UREMBO HUU NYUMBANI KWAKO AU SHULENI?

 Ashery Mkama akiwa katika moja ya sanamu za twiga alizotengeneza na ipo katika hatua za mwisho kukamilika. Juu ni sanamu ya Pundamilia na mwanae ambayo nayo ipo katika hatua za mwisho.  Sanamu hizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA NHC LATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI VYA VIJANA,LENGO NI KUBADILI...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akizungumza wakati wa maadalizi ya ufungaji wa mafunzo ya vijana wawakilishi wa vikundi kutoka mikoa mbalimbali kuhusu...

View Article


MEYA BUKOBA ATIMULIWA KAZI; RIPOTI YA CAG YAMLAMBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Football legend Pelé is Emirates’ Global Ambassador

Emirates airline, an Official FIFA Worldwide Partner, today announced that Brazilian football legend Pelé will be one of its Global Ambassadors.   Coinciding with the highly-anticipated FIFA World...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI AFANYA KIKAO KIZITO BUKOBA...

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Ludovick Utouh akitoa taarifa ya ukaguzi maalum leo Bukoba.Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AKAGUA MAREKEBISHO YA UKUMBI WA BUNGE KWAAJILI YA BUNGE LA KATIBA DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza maelezo kutoka kwa mafundi wanaokarabati Ukumbi wa Bunge la Katiba mjini Dodoma leo wanati akikagua kazi ya uwekaji viti vipya katika ukumbi wa huo ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU ATOA MADAWATI 500 YATAKAYOGAWIWA SHULE ZA MSINGI JIMBONI TEMEKE

 Madiwani wakipiga makofi ikiwa ni ishara ya kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (wa pili kushoto)  kukata utepe  wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 500 yenye thamani ya sh. mil. 67.5...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la Msiba wa Mzee Arnold Wilfred Nkhoma

Marehemu Mzee Arnold Wilfred Nkhoma Kambonapany (kulia) enzi za uhai wake akiwa na mmoja wa watoto wake kwenye ibada maalum ya kutoa shukrani alipotimiza miaka 100 iliyofanyika kwenye kanisa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya China Word Buz yaelezea njia mbadala zitakazopunguza gharama za...

Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini China vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo China Bwana Cheng Wang Wu akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 25 YA NDOA YA BETTY & CHARLES MKWASA

Wana Silver Jubilee, Betty Mkwasa mabye ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma na mumewe Charles Boniface Mkwasa 'Master' Kocha msaidizi wa Yanga, wakionesha hati maalum ya ndoa kutoka kwa Papa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AWAONA MIGIRO, NYALANDU, MKUYA, MAHENGE KUFAA UWAZIRI; NKAMIA, MCHEMBA NAO...

Wakati ikiwa imesalia miezi 22 kabla ya kufanyika kwa ucvhaguzi mkuu wa Serikali mwaka 2015, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi...

View Article


Sex and Drinking: Global Dialogues Video Challenge

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAGAZETINI HII LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA YA WAMZIKA MTAMBALIKE

Jaji Mstaafu Mark Bomani,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Mh.Stephen Wassira ni miongoni mwa viongozi mbali mbali...

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>