Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK KAMANI: AFUNGUKA, AWATAKA WAFANYAKAZI WASIOENDANA NA KASI YAKE WAJIONDOE...

Na Mukhsin MamboWaziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani, amesema ili kwenda na kasi ya maboresho ya wizara hiyo, inahitajika dhana ya uwajibikaji na uwazi sambamba na kujitolea kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA WANANCHI WA MIONO KATIKA MAZIKO YA ALIYEKUWA MBUNGE WA...

 Rais Jakaya Kikwete, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kushoto) na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, wakati wakiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UTARATIBU WA KUKODISHA WAFANYAKAZI UNAOFANYWA NA...

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka akitoa tamko la Serikali kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usitishwaji wa utaratibu wa kukodisha wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya mawakala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI WA HABARI LEOKILIMANJARO, ARONLD SWAI, aMWENYEKITI MPYA UVCCM...

Arnold Swai (wa kwanza kushoto)wakati wa upigaji kura, zoezi lilofanyika juzi, wilayani Hai kuziba pengo la nafasi ya Mwenyekiti.Mjumbe wa Halmshauri kuu CCM wilaya ya Hai, Fuya Kimbita, akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PLUS SIZE CLOTHING SASA ZINAPATIKANA Zurii FASHION BOUTIQUE. KARIBUNI SANA

Wale wateja wetu wa Plus Size tumesikia kilio chenu na sasa Zurii Fashion & Beauty Boutique kuna Stock Mpya kwa ajili yenu Plus Size ladies (wale mlio jaliwa neema hahaha). Size 14-20 sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU PINDA ALIPOTEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA VURUGU ZA GESI

 Waziri mkuu  Mizengo Pinda akiangalia moja  kati ya magari yaliyo chomwa moto nyumbani kwa  Mbuge wa Masasi Mariam Kasembe  wakati wa vurugu mwaka moja uliopita alipotembelea wilaya hiyo. Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU ASHIRIKI KONGAMANO LA UMUHIMU WA KUTANGAZA UTALII

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizindua jumuia ya Wanafunzi wa mawasiliano ya Umma na matangazo katika chuo Kikuu Kishiriki cha  Askofu Mkuu Mihayo (SAUT) Tabora wakati alipokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kusambaza tabuleti za kufundishia sekondari

 Mwenyekiti wa taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Dkt Shukuru Kawambwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya WAMA Nakayama Dkt Ramadhani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUIGIZAJI WA FUTUHI MZEE DUDE AFARIKI

MUIGIZAJI WA KUNDI LA VICHEKESHO LA FUTUHI LA JIJINI MWANZA, LINALORUSHA MCHEZO WAKE KUPITIA RUNINGA YA STAR, MZEE DUDE, AMEFARIKI DUNIA, JANA SAA 12 JIONI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA BUGANDO, BAADA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AAR Insurance yatoa misaada ya vyakula kwa wahanga wa Maafa Kilosa Morogoro

Kufuatia tukio la maafa lilotokea Kilosa Morogoro, kampuni ya bima ya AAR  yaungana na serikali kusaidia wahanga wa mafuriko  walipoteza makazi yao na wanakabiliwa na uhaba wa chakula.Kampuni iyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Ardhi atoa changamoto kwa vijana kupitia kitabu chake

Nguku anaelezea kwamba kitabu hicho yenye kauli mbiu“Sio Serikali ni Mimi, Wewe na Sisi,” inatoa hamasa kwa watu hasa hasa kundi la vijana waweze kuwa na uthubutu wa kutimiza malengo yao katika maisha....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHMOUD THABIT KOMBO KUUNGURUMA LEO UWAMJA WA BUSTANINI

Na Andrew Chale, ZanzibarCHAMA cha Mapinduzi CCM, leo Januari 28, kinatarajia kufanya kampeni yake ya Sita (6) ya mkutano wa hadhara kwenye eneo la uwanja wa  Bustanini, katika kampeni za Uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelezo ya Dk Lwaitama akisimulia mkasa wake na ndege ya PrecisionAir

Akiwaandikia wanachama katika kundi la Wanazuoni, Mwl Lwaitama amesema:- Ndugu wanazuoni maelezo niliyotoa mtandao wa wanamabadiliko juzi Jumapili haya hapa chini. Kesho Jumatano kwenye The Citizen ,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LASAKA JAMBAZI LILILOUA WATU WANANE HUKO RORYA, TARIME

Ndugu zangu waandishi wa habari, nimewaiteni hapa kwa dharura, ili kuweza kuwafahamisha hali halisi ya mauaji yaliyotokea katika siku za hivi karibuni katika mkoa wa Kipolisi wa Tarime Rorya. Mnamo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AFURAHISHWA NA HUDUMA ZA NMB KATIKA MPANGO WA KILIMO WA STAKABADHI GHALANI

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkuu wa kitengo cha Masuala ya Kilimo katika Benki ya NMB Bw. Robert Pascal alipotembelea banda lao leo baada ya kufungua kongamano la kilimo Afrika Mashariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKI NJIA KUU

HII KAMPENI IMEANZIA JIJINI DAR ES SALAAM NA SASA IPO HUKO MIKOANI LAKINI SWALI NI JE INAHUSU NINI?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMIAJI WA BARABARA YA KAWAWA KUTOKA MOROCCO - MAGOMENI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAJIVUNIA MAFANIKIO WALIYOPATA, KUADHIMISHA MIAKA 37 JIJINI MBEYA

Wakati CCM inatimiza miaka 37 tangia kuanzishwa kwake februari 5 mwaka 1977,Chama hicho kinajivunia sana mafanikio makubwa kiliyopata hasa katika kudumisha Umoja na Mshikamano kwa  Watanzania ,kutunza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYOR JERRY SILAA KUBARIKI UZINDUZI WA KAMPUNI YA GRACING AFRICA LEO

  Mwanamitindo anayefanya vizuri sana nchini, Danny David atazindua kampuni yake mpya ya Gracing Africa inayojihusisha na ukuzaji na uendelezaji wa vipaji nchini hasa vya mitindo na fashion ijumaa hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO MARYAM

Kuna mdada wa miaka 18 Ambaye amejifungua binti anaeitwa Maryam kwa bahati mbaya sana mtoto Huyo alipozaliwa hakua na sehemu ya kutoa choo kikubwa hali ya kwamba sehemu hiyo imefunga.  Kwa ujuzi wa ma...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>