Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAPINGA NA VENANCIA WALIVYOKUWA MWILI MMOJA

Maharusi Joseph Kapinga na Venancia Mapunda wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa kanisa katoriki, Sinza Dar es Salaam hivi karibuni, kisha kufuatiwa sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MEGATRADE YATOA MSAADA YA VYAKULA MASHULENI

Meneja Masoko wa kampuni ya Megatrade Ivestment Goodluck Kway kulia, akimkabidhi msaada wa vyakula  diwani wa kata ya sokoni one Michael Kivuyo kwaajili ya shule za msingi katika kata hiyo ambazo ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO DASLAAM AU DIZIM

Hii ndio hali halisi ya makazi jijini Dar es Salaam kama inavyoonekana katika picha hii iliyopigwa katika eneo la Manzese jijini jana.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RINO SALOON AND SPA YAWANG'ARISHA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE...

 Mshiriki wa Fainali ya TMT akihudumiwa katika Saloon ya Rino Saloon & SPA iliyopo Msasani Karibu na Capetown Fish Market jijini Dar Es Salaam. Mshiriki Kutoka Kanda ya Kaskazini Mkoani Arusha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARY NAGU MGENI RASMI KONGAMANO LA NNE LA KITAIFA LA MAKATIBU MUHTASI...

 Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu ambaye ndiye mgeni rasmi wa Kongamano la nne laKitaifa la Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),akizungumza jambo na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Weruweru Alumni in the Diaspora

 Now, we have been receiving lots of inquiries on how the Weruweru Alumni community living outside of Tanzania, can get access to the Khanga, Tshirts and Mugz of Weruweru Alumni?! ...Today,let me help...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU AIFUTIA LESENI KAMPINI YA GMS ILIYOLALAMIKIWA NA MSIGWA

WAZIRI WA mali asili na Utalii, Lazaro Nyalandu (pichani) ametangaza rasmi kuifutia leseni ya uwindaji nchini pamoja na kuifuta kabisa kampuni hiyo katika shughuli za utalii nchini Kampuni ya Uwindaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKAGUA MRADI UJENZI WA NYUMBA ZA NHC MKINGA MKOANI TANGA

Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) na kupokelewa na Ndg. Felix Maagi Kaimu Mkurungenzi Mkuu NHC na Mkurugenzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NYALANDU AMWAGA MSAADA WA MILIONI 10 WA MABATI 420 SHULE ZA SEKONDARI...

Diwani wa Kata ya Kinyeto, Francisco Ng’eni akipokea msaada wa mabati 200 kutoka kwa Mwenyekiti Hanje kwa niaba wa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe, Lazaro Nyalandu.Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Singida...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KWA TIKETI YA FRELIMO AKUTANA NA RAIS KIKWETE,...

 Mgombea Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Ukombozi cha FRELIMO Filipe Nyusi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Ndogo mjini Tanga, mgombea huyo alipokwenda kumsalimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA MONDULI

Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akipata maelezo kutoka kwa mhandisi msaidizi Paul Kisesa wakati alipokwenda ghafla jana kukagua ujenzi wa hospitali ya kisasa wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chuo cha Kilimo na mifugo Kaole Kufanya mahafali ya pili kesho Julai 12

Na Andrew Chale, BagamoyoCHUO  cha Kilimo na Mifugo Kaole (Kaole College of agriculture (KCA), kesho Jumamosi Julai 12, kinatarajia kufanya mahafali yake ya pili chuoni hapo huku wahitimu  291,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EMANUEL MBUZA AZIKWA KIJIJINI KWAO

Chipkizi wa Chama cha Mapinduzi mkoani Mbeya wakiwa wamebeba jeneza la Mwili wa Marehem,u Emanuel Mbuza aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Wilaya ya Mbeya mjini.Mke wa maarehemu Emmanuel Mbuza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MERO AWAANDALIA FUTARI WATANZANIA GENEVA

Balozi wa Tanzania katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Geneva,  Mhe.  Modest Mero (kanzu jeupe) akila futari pamoja na wageni wake mbalimbali wakiwepo watanzania waishio Geneva katika futari maalum...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahitimu mafunzo ya muda mfupi sasa kusomea Diploma ya Uandisi

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)Abraham Nyanda akisoma hotuba yake wakati wa kufunga  Mafunzo Unganishi(Bridging Course)yatakayowawezesha kujiunga na mafunzo ya  Stashahada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ziara ya naibu mawaziri Nishati na Madini, Mazingira , Tamisemi na wabunge...

Ujumbe wa Tanzania uliopo nchini Canada kwa ziara ya mafunzo ukiongozwa na Naibu Waziri Nishati na Madini, Charles Kitwanga (aliyenyoosha mkono), ukiwa katika chumba cha kusimamia mitambo ya kuzalisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAPOTEZA SIFA NA FEDHA KIMATAIFA KWA BIDHAA ZAKE KUTUMIA BARCOD YA...

Mtanzania aishie na kufabnya shughuli zake za uhandisi nchini Ungereza, John Kihama akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam kuhusiana na matumizi ya Barcods katika bidhaa za kitanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA CHADEMA JIMBO LA IRINGA MJINI ,VIONGOZI WAKE KATA YA RUAHA WASEMA...

 Diwani  wa kata ya Mtwivila Vitus  Mushi akisaliama na wadau  leoMbunge Ritta Kabati  akisalimia  na maofisa wa  polisi  waliofika  kulinda  usalama katika mkutano  huoviongozi  wa Chadema  waliohamia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINYOZI WA KIMAASAI

Mwanamke wa kimasaai mkazi wa Dar es Salaam akimnyoa nywele mwenzake kando kando ya barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam kama alivyokutwa na Camera ya Father Kidevu Blog hivi karibuni. Wanawake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMELOK SOKOINE ATIMIZA AHADI YAKE KWA KIKUNDI CHA VIKOBA- ARUSHA

Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha, Namelok Sokoine (kushoto), akikabidhi Shs. milioni 5 kwa Mwenyekiti wa Vikoba Kata ya Engutoto, Bilhuda Kisasa,  ikiwa ni sehemu ya mchango wake wa shs....

View Article
Browsing all 10588 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>