Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WATINGA MAHAKAMANI, DPP AWAONDOLEA...

 Washtakiwa wakiwa katika gari la polisi Washtakiwa wakisubiri kuingia mahakamani.******  Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), aliwapandisha kizimbani vigogo wanne wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AONGOZA MAZISHI YA DK KAPOLI LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika mazishi ya Mhadhili wa zamani wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Chuo Kikuu cha Tumaini, Dk, Irenius  Kapoli, nyubani kwa Marehemu, Mbezi Malamba Mawili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAMU WATAKIWA KUSHIKAMANA NA WAUMINI WA DINI NYINGINE KATIKA...

Waumini wa dini ya kiislamu wakihitimisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wakiwa kwenye ibada ya swala ya Iddy el Fitry kwenye uwanja wa sheikh Amri Kaluta Abeid jijini Arusha.  Sheikh wa mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EID MUBARAK!!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AONGOZA WATANZANIA KATIKA SWALA YA EID EL FTRI DAR ES SALAAM

 Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilali (wapili kulia) akishiriki katika swala ya Idd El Fitri iliyoswaliwa katika viwanja vya mnazi mmoja Dar es Salaam jana. Kulia ni Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDA NA ALAMA ZA NJIA WAPITAZO

 Hivi ndivyo mabasi ya UDA yanavyoonekana sasa baada ya kupigiwa kele za muda mrefu kuchora mistari ya rangi kuonesha njia wanazopita na sio kujiamulia tu wenyewe wanavyojisikia.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA MORO BEST LAUA 17 DODOMA LEO

Watu zaidi ya 17 wamepoteza maisha leo katika eneo la Panda Mbili Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma  baada ya gari walilokuwa wakisafiria mali ya Kampuni ya Morobest lenye namba za Usajili T258 AHV...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALI KIBA ACHIA MBILI KALI

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa's biggest stars and his name is steadily becoming a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZINGIRA WAZINDUA TOVUTI YA MABADUILIKO YA TABIA NCHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira  Dk.Binilith Mahenge akizindua rasmi tovuti ya mabadiliko ya tabianchi itakayotumika kutoa taarifa mbalimbali za utunzaji wa Mazingira.Kushoto kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIKETI ZA KUMUONA KANSIIME ZIPO MTAANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANSIIME ATUA DAR NA KUAHIDI MAKUBWA SIKU YA SHOW.

 Nyota wa Vichekesho ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Anne Kansiime kutoka Nchini Uganda amewasili nchini jioni hii tayari kwa onesho lake litakalofanyika Agosti 2 mwaka huu katika ukumbi wa Golden...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Ndugulile akabidhi madawati 650 kwa Shule 12 Tarafa ya Mbagala

Mbunge wa Jimbo la Kigamboni,Dk Faustine Ndugulile, akiwahutubia wazazi na wanafunzi wanaotoka katika shule 12 za sekondari katika tarafa ya Mbagala kabla ya kuzikabidhi shule hizo jumla ya madawati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA WAKUTANA KUJIBU HOJA ZA VIONGOZI WA DINI

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Profesa Ibrahim Lipumba (katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutoa Tamko kuhusu Wito...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI MAKALLA AKAGUA MIRADI YA VISIMA VYA MAJI MKURANGA

 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akipata maerlezo kutoka kwa kiongozi wa Mafundi wa Kampuni ya CDM Smith, John Donoherth, kuhusu ujenzi wa kisima kilichopo Mkwalia Mkuranga ambacho ni moja...

View Article

PATA HABARI ZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NDANI YA NEWS BULLETIN TOLEO LA 27

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbukumbu ya Miaka Miwili ya Mzee Joseph Mturi Mahemba (1955-2012)

Mpendwa Baba yetu, Joseph Mturi MahembaHatimaye siku, Miezi imepita hadi hii leo ambapo imetimia Miaka miwili (2) tangu ulipotutoka ghafla usiku ule wa siku ya jumatano ya tarehe moja ya Mwezi Agosti,...

View Article

HOTUBA YA MHE DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WANANCHI, 31 JULY 2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA NEWALA KATIKA MAONESHO YA KILIMO NANE...

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika banda la Hamlashauri ya wilaya ya Newala katika maonesho ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika kitaifa Mkoani Lindi mwaka huu.  Dk Shein akipata maelezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maonesho ya Nane Nane yafunguliwa rasmi leo mkoani Lindi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Maonesho ya kilimo ya nane nane kitaifa mwaka huu katika viwanja vya Ngongo Mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PASS NDANI YA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA LINDI

 Kikosi kazi cha PASS kikiwa kamili kusubiri wananchi na wadau mbalimbali wa Kilimo kutembelea banda lao lililopo katiuika viwanja vya Maonesho ya Wakulima yanayoendelea Kitaifa katika viwanja vya...

View Article
Browsing all 10590 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>