Quantcast
Channel: Father Kidevu
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT AMIS YAPATA TUZO YA UENDESHAJI BORA WA MIFUKO MWAKA 2015 KUTOKA KWA...

Tuzo ya usimamizi bora wa mifuko iliyopata UTT AMIS kutoka CFIMkurugenzi Mtendaji wa UTT AMIS Dr. Hamis Kibola akiongea na waandishi wa habari(pichani hawapo) kuhusiana na miaka 10 ya Umfuko wa Umoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS UNIVERSE YAPATA MMILIKI MPYA

 Maria Mwandaaji wa mashindano ya Miss Universe Tanzania, Maria Sarungi Tsehai alizungumza katika mashindano yaliyopita.Miss Universe Tanzania 2014 Caroline Bernard akitoa elimu ya afya kwa wanafunzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIMO MEDIA YAANDAA NYERERE CUP ARUSHA

Mkurugenzi wa kampuni ya BIMO Media , Bertha Ismail akisoma risala katika ufunguzi wa maadhimisho ya ufunguzi wa michuano ya Nyerere Cup 2015 yaliyokuwa yakitimua vumbi katika uwanja wa Stedium jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA LUVTOUCH MANJANO ATEMBELEA WASHIRIKI WA SEMINA YA UJASIRIAMALI

   Balozi wa Luv touch Manjano Irene Pul Katika Picha ya Pamoja na washiriki wa Semina ya ujasiriamlai ya wanawake kwa kupitia Vipodozi vya Luv Touch manjano iliyochini ya Manjano foundation.Lengo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI.

Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akizungumza katika mkutano huo.Mbatia akimtamburisha mgombea udiwani katika kata ya Arusha Chini,Rojas Mmary mbele ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KITABU AFANYA KAMPENI JIMVBO LA NSIMBO KATAVI

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mohamed (kulia) akimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Nsimbo, Gerald Kitabu ambaye ni mwandishi wa habari wa The Guardian Ltd wakati wa mkutano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHART-SIKILIZA NYIMBO NA KUPATA HABARI KUPITIA POAAPP

“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibunikwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COPA COCA COLA KUFANYIKA MWAKANI, TFF YAPANGUA KAMATI NDOGO

Mashindano ya Copa Coca Cola yanayodhaminiwa na Kampuni ya Vinywaji ya Coca Cola yaliyokuwa yafanyike katikati ya mwaka huu, sasa yatafanyika mapema mwakani mwezi Februari kuanzia ngazi ya Wilaya na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF TOWERS MTAA WA SOKOINE...

 majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam yaliyozindulia  leo Septemba 16, 2015 Rais Kikwete na viongozi wengine wakifurahia sanamu ya ukutani inayopamba eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AKAGUA MAENDELEO YA KITUO CHA MICHEZO KWA VIJANA CHA KIDONGO CHEKUNDU DAR...

  Kituo cha Michezo kwa vija na cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam kinavyoonekana kutoka angani. Rais Jakaya Mrisho kikwete akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI ALIVYOITEKA KIGOMA UWANJA WA KAWAWA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia  maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GSM MEDIA YAIPA TASWA MILIONI 50 KUMUAGA JK NA TUZO ZA WANAMICHEZO

Mkuu wa mauzo na masoko wa GSM Media, Elibariki Lukumay,(kulia) akimkabidhi mfano wa hundi Mwenyekiti wa Chama cha Wandishi wa Michezo (TASWA) Juma Pinto kwa ajili ya kumuaga Rais Kikwete pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAWEKEZAJI UTURUKI WAALIKWA KUWEKEZA HIFADHI ZA TAIFA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Allan Kijazi  akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp(katikati)aliyefika makao makuu ya Shirika hilo leo,kulia ni Katibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA AWAMU YA PILI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE SOKO...

 Ofisa Mtendaji Kata ya Temeke, Elias Wawa akizungumza katika uzinduzi wa awamu ya pili kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake masokoni uliofanyika soko la Temeke Sterio Dar es Salaam jana....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIA YA ASILI YA NZAGAMBA KUKABIDHI MADUME YA NG’OMBE WIKI IJAYO

Promosheni ya Bia ya Asili ya NZAGAMBA iliyozinduliwa tarehe 13 Agosti jijini Mwanza inafikia Kilele mwishoni mwa wiki ijayo ambapo Zawadi kubwa ya Ng’ombe Dume watatu watakabidhiwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA 34 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI KUFANYIKA TAREHE 21-27,...

Mwenyekiti wa Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni, John Mponda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu tamasha hilo litakalofanyika kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ALIPOTIKISA MJI WA CHATO NYUMBANI KWA MPINZANI WAKE

 Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, BARIADI MKOANI SIMIYU LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa Bariadi (hawapo pichani) wakati alipowasili kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA KIFO CHA MARGARETH MWAISAGA

Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Standard Newsapapers (TSN) Limited, wachapishaji wa magazeti ya Dailynews, Sundaynews, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo, Mohamed Mambo anasikitika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WAJIOTKEZA KATIKA MKUTANO WA KAMPPENI ZA MGOMBEA MWENZA WA UKAWA...

 Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita. Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mkutano...

View Article
Browsing all 10583 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>